Pentagon kuja na Bomu la Nyukilia lenye nguvu mara 24 zaidi ya lile la Hiroshima, Japan

Wenzao walitemgeneza 1961 wakaona ni ujinga wakaachana nao. Wao ndiyo wanaanza sasa hivi?


Na watampiga nalo nani wakati na wenzao wanalo?
 
mwisho wa dunia hautaletwa na MUNGU,2namsingizia bure MUNGU wangu,,,,tutaleta wenyewe sisi binadam!!!!!
 
Mhhh mbona tayari madude yapo kitambo tu na yapo yenye vichwa mpaka 5 ambapo kila kichwa kina uwezi mara 60 ya lile la 1945??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…