Pentekoste iliyochangamka

Pentekoste iliyochangamka

Roman Catholic follow Jesus doctrine through Bible as guidance but Roman empire don't follow the bible as act to govern.
Msichanganye catholic church na roman empire. Kwanza hakuna kanisa linaitwa roman catholic its a misnomer, kanisa ni catholic period. Lina rites kibao japo kubwa ni latin rite ambayo waanglikana waliita roma sababu askofu anaishi Rome. Na sio official name. Kanisa la ulimwengu sio roman. Katoliki tupo , wengi, kuna chaldean, maronite, melikite, byzantine catholic, syro-malabar catholic. Ni universal. Hakuna uhusiano na roman empire, japo constantine kwa mara ya kwanza alituruhusu kuabudu bila persecution, na mama yale alikuwa convert. Sasa hii inawachanganyaga sana conspiracy theorists wanadhani Constantine alikuwa na mkono kwenye mafundisho, kumbe la! Kanisa lilikuwa limeshawekwa msingi imara. Observe
 
Roman Catholic follow Jesus doctrine through Bible as guidance but Roman empire don't follow the bible as act to govern.
Roman Catholic don't follow Holy Scriptures as guidance. Holy scriptures identified days of the week as First day, Second Day, Third Day, Fouth day, Fifth day and Shabbat day. Ila Roman Catholic ikaona haiwapendezi wakaamua kuzipa siku za week majina ya miungu:

Sunday: "Sun's day"

Monday: "Moon's day"

Tuesday: "Tiw's day" (Germanic war god, equivalent to Mars in Roman mythology)

Wednesday: "Woden's day" (Germanic god of wisdom and magic, equivalent to Mercury in Roman mythology)

Thursday: "Thor's day" (Germanic god of thunder, equivalent to Jupiter in Roman mythology)

Friday: "Frigg's day" (Germanic goddess associated with love, equivalent to Venus in Roman mythology)

Saturday: "Saturn's day" (Roman god associated with time)


Roman Catholic walipoona kuna amri 10 za Mungu kwenye Torati ya Musa zitawabana kwenye vitendo vyao vya kipagani wakazichakachua.

1. Exodus 20:3 "Thou shalt have no other gods before me.”
2. Exodus 20:4 "Thou shalt not make unto thee any graven image.”
3. Exodus 20:7 "Thou shalt not take the name of the Lord thy God in vain.”
4. Exodus 20:8-10 "Remember the sabbath day, to keep it holy."
5. Exodus 20:12 "onour thy father and thy mother.”
6. Exodus 20:13 "Thou shalt not kill.”
7. Exodus 20:14"Thou shalt not commit adultery.”
8. Exodus 20:15 "Thou shalt not steal.”
9. Exodus 20:16 "Thou shalt not bear false witness against thy neighbour.”
10. “Exodus 20:17 "hou shalt not covet.”

Amri ya 2 imeondolewa kwenye mafundisho ya Roman Catholic halafu wakaduplicate amri ya 10. Motive ni kuhalalisha ibada za sanamu.

Hayo ni machache kati ya mengi mnayokinzana na maandiko matakatifu.
 
Offcourse Roman Catholic ndio ilioanzisha hiyo hybrid belief wakaiita Christianity faith kwa kuchanganya holy faith na paganic traditions and practices na wamejitahidi kuitunza kwa nguvu zote ila at the expense of suppressing truth. Kanisa lolote linalochipua kutoka Roman Catholic Christianity faith haliwezi kuwa kanisa genuine la watakatifu.

Imani aliyoianzisha Mungu mwenyewe haikuwa Christianity ila imani ya utakatifu. Hii ndio twaweza sema ni dini ya Mungu mwenyewe; ilifuatwa na manabii kabla ya ujio wa Kristo, Yesu Kristo aliishi, mitume baada ya Kristo waliishi na kuihibiri, pamoja na kanisa la mwanzo lililoanzia Yerusalem siku ya pentekoste hii ndio ilikua foundation faith of the church.

Naomba ujue kuwa hapa najaribu kulizungumzia lile kanisa la watakatifu ambalo Yesu aliahidi kulijenga kutoka kwa Petro, ambalo malango ya kuzimu hayawezi kulishinda (hili kanisa Roman Catholic wameshiriki kulisupress na kujaribu kulieliminate); not hiyo hybrid faith called Christianity from Roman Catholic.

Kwa kujifunza soma kitabu cha matendo ya mitume uone kanisa lisiloshindwa na malango ya kuzimu linafananaje then licompare na kanisa lako la Roman Catholic halafu chukua hatua sahihi.
Pana mapokeo mazuri na mapokeo mabaya sasa hata kama ni mapokeo hayapingani na Sheria ya Mungu shida ipo wapi.
 
Pana mapokeo mazuri na mapokeo mabaya sasa hata kama ni mapokeo hayapingani na Sheria ya Mungu shida ipo wapi.
Unaweza nitajia hayo mapokeo mazuri ya Roman Catholic yasiyopingana na mafundisho yaliotokana na revelation of Holy Spirit in scriptures?
 
Pana mapokeo mazuri na mapokeo mabaya sasa hata kama ni mapokeo hayapingani na Sheria ya Mungu shida ipo wapi.
hakujawahi kuwa na mapokeo yanayokubaliana na neno la mungu. ukikubali ibilisi akuongezee neno moja tuu nje ya neno la mungu jua ulishamtimua mungu.
yeye yupo hvyo ajawahi kubadilika
 
Unaweza nitajia hayo mapokeo mazuri ya Roman Catholic yasiyopingana na mafundisho yaliotokana na revelation of Holy Spirit in scriptures?
hakuna pokeo la catholic linaloendana na maandiko.
haya ni machache

upapa
upadri na usister
sanamu
chrismas
bikira mariam kama mbadala wa roho mtakatifu
litulgia
kutubu kwa padri
kanisa kuwa taasisi
minada kanisani
papa mbadala wa kristo
vyuo vya kidini
mpangilio wa mahubiri kwa mwaaka mzima na sio kuongozwa na mungu cha kuhubiri
biblia
pombe na ulevi
mariam kuwa mama wa mungu. yesu hakuwahi kumuita mariam mama
na mengine meengi mnooooooo.
ibada za mifupa ya mapapa wakale
kumbusu papa na kumsujudia

kiukweli ni mengi mno.
mfumo mzima wa uroman si ukristo
na si roman tuu wooote
 
Offcourse Roman Catholic ndio ilioanzisha hiyo hybrid belief wakaiita Christianity faith kwa kuchanganya holy faith na paganic traditions and practices na wamejitahidi kuitunza kwa nguvu zote ila at the expense of suppressing truth. Kanisa lolote linalochipua kutoka Roman Catholic Christianity faith haliwezi kuwa kanisa genuine la watakatifu.

Imani aliyoianzisha Mungu mwenyewe haikuwa Christianity ila imani ya utakatifu. Hii ndio twaweza sema ni dini ya Mungu mwenyewe; ilifuatwa na manabii kabla ya ujio wa Kristo, Yesu Kristo aliishi, mitume baada ya Kristo waliishi na kuihibiri, pamoja na kanisa la mwanzo lililoanzia Yerusalem siku ya pentekoste hii ndio ilikua foundation faith of the church.

Naomba ujue kuwa hapa najaribu kulizungumzia lile kanisa la watakatifu ambalo Yesu aliahidi kulijenga kutoka kwa Petro, ambalo malango ya kuzimu hayawezi kulishinda (hili kanisa Roman Catholic wameshiriki kulisupress na kujaribu kulieliminate); not hiyo hybrid faith called Christianity from Roman Catholic.

Kwa kujifunza soma kitabu cha matendo ya mitume uone kanisa lisiloshindwa na malango ya kuzimu linafananaje then licompare na kanisa lako la Roman Catholic halafu chukua hatua sahihi.
aminaaa
maandiko yanasema yeye ni mama wa makahaba na amezaa mabinti wengi wakufanana nae.
 
nyimbo zenu hazina tofauti na nyimbo za mashetani hazina uvuvio wa Roho Mtakatifu si ajabu muimbaji wa injili kucollable na muimbaji wa shetani wakatoa single,check mastep ya kuzimu kwenye nyimbo zenu
Wakatoliki nowadays mmechangamka nyimbo zenu mnavaa vimini supu nje nje 😀😀, hakuna mwenye afadhali
 
Back
Top Bottom