Penzi kigugumizi lachafua hali ya hewa! Anusurika kifo

Penzi kigugumizi lachafua hali ya hewa! Anusurika kifo

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
5,445
Reaction score
14,828
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida bwana Johannes aliipigiwa cm na rafiki yake wa kike aje kujumuika katika sherehe yake.

Lakini alipofika alikuta ni sherehe ya wadada watatu tuu ambapo yeye ndiye alikuwa mwanaume pekee, watatu hao walimlazimisha kuanza kula vyakula ambavyo vimepambwa katika mwili wa mmoja wapo ndipo sherehe ilipoanza kugeuka karaha kwa bwana Johannes ambaye alibakwa na hao wanawake 3 hadi kupelekea kulazwa hospitali.

Kwa sasa wanawake hao 3 wanashikiliwa na jeshi la polisi huko malawi kwa uchunguzi zaidi!

20220530_112629.jpg
 
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida bwana Johannes aliipigiwa cm na rafiki yake wa kike aje kujumuika katika sherehe yake. Lakini alipofika alikuta ni sherehe ya wadada watatu tuu ambapo yeye ndiye alikuwa mwanaume pekee, watatu hao walimlazimisha kuanza kula vyakula ambavyo vimepambwa katika mwili wa mmoja wapo ndipo sherehe ilipoanza kugeuka karaha kwa bwana Johannes ambaye alibakwa na hao wanawake 3 hadi kupelekea kulazwa hospitali. Kwa sasa wanawake hao 3 wanashikiliwa na jeshi la polisi huko malawi kwa uchunguzi zaidi!View attachment 2244241
Vitu hivi hatari jamani yaani unapelekewa moto na warembo mpaka unasiziii🤣🤣🤣🤣
 
Hii italuwa chai kwasababu mwanaume nitofauti na mwanaume mashine ikishalala mwanamke hataweza kukubaka maana mashine imeshanywea
Unaonekana wewe nguvu za kiume huna
 
Kipindi nipo chuo nilikuwa sijihusishi kabisa na mapenzi mpaka semister iishe,sasa ule ugwadu niliokuwa nao wa hiyo miezi zaidi ya 3 hawa lesbian wangetosheka tu
 
Back
Top Bottom