Penzi kigugumizi lachafua hali ya hewa! Anusurika kifo

Penzi kigugumizi lachafua hali ya hewa! Anusurika kifo

Hivi mwanaume unabakwaje na wadada? Dushe inasimama vipi ktk hali ya kugombana au kwenye uwepo wa wanawake watatu kwa mmoja halafu hadharani sio kizani? Huyu alitumia dawa akataka awatafune wote akakojoa povu mwisho damu, tamaa za fisi
 
Hivi mwanaume unabakwaje na wadada? Dushe inasimama vipi ktk hali ya kugombana au kwenye uwepo wa wanawake watatu kwa mmoja halafu hadharani sio kizani? Huyu alitumia dawa akataka awatafune wote akakojoa povu mwisho damu, tamaa za fisi
Alibakwa kwa mujibu wa ripoti!
 
Hii inaonyesha wabongo wanapenda sana mapenzi hapo washatamani kwenda Malawi.
 
Me sijawah kutosheka
Wangeniita mimi 😂😂😁
Bahat nyingine bn
 
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida bwana Johannes aliipigiwa cm na rafiki yake wa kike aje kujumuika katika sherehe yake.

Lakini alipofika alikuta ni sherehe ya wadada watatu tuu ambapo yeye ndiye alikuwa mwanaume pekee, watatu hao walimlazimisha kuanza kula vyakula ambavyo vimepambwa katika mwili wa mmoja wapo ndipo sherehe ilipoanza kugeuka karaha kwa bwana Johannes ambaye alibakwa na hao wanawake 3 hadi kupelekea kulazwa hospitali.

Kwa sasa wanawake hao 3 wanashikiliwa na jeshi la polisi huko malawi kwa uchunguzi zaidi!

Hahaha
 
Back
Top Bottom