**~** penzi la clara **~**


Ndibalema Ni mwanadada ndio alikuwa akisimulia...ona aliulizwa huyo dada ulikuwa unafahamu!ambaye alikuwa anafanya mapenzi na mumeo!akajibu ni mama yake mzazi..that hata mie kwa kweli nilichoka...uhh mwanakijiji we I salute.
 
Ndibalema Ni mwanadada ndio alikuwa akisimulia...ona aliulizwa huyo dada ulikuwa unafahamu!ambaye alikuwa anafanya mapenzi na mumeo!akajibu ni mama yake mzazi..that hata mie kwa kweli nilichoka...uhh mwanakijiji we I salute.

Asante mkuu,
lakini mimi nilikuwa nazungumzia kuanzia mstari wa kwanza unapoanzia
ilianza hivi,

Nilihisi kuna mtu amesimama karibu na kochi nililokuwa nimejilaza. Ni ile hisia ambapo bila kuangalia nyuma unahisi kuna mtu anakunyemelea au kuna mtu anakuangalia na unapogeuka unakuta ni kweli. Nilikuwa nimejilaza chali kwenye kochi kubwa la rangi nyeusi huku Radhiya akiwa bado amekaa juu yangu. Shanga zake zikiwa zinaning'inia na kugusa kiuno changu. Kiunoni mwake alikuwa amejifunga kanga tu, tulikuwa tumeloa jasho, miili imechoka huku usingizi ukitupitia taratibu. Ilikuwa ni mara ya pili ndani ya saa moja tulifanya mapenzi ya nguvu.

Hisia hiyo ya mtu kuwa karibu ilinishtua mimi na kabla sijafanya lolote Radhiya naye alishtuka pia. Tulipofumbua macho yetu tulipigwa na butwaa la mwaka. Mke wangu Husna, alikuwa amesimama pembeni ya kochi tulilokuwa tumejilaza. Mkononi alikuwa ameshika kisu kikubwa chenye ncha kali kilichokuwa kinameremeta. Alikuwa amekunja uso wake, huku machozi yakimtoka na midomo ikimtetemeka. Kabla sijapata nafasi ya kusema Radhiya alijiondoa kwa nguvu na kuruka pembeni huku akishikilia kanga iliyokuwa ikimning'inia. Hakufanya ajizi alinyakuwa mkoba wake uliokuwa mezani na funguo za gari lake na kukimbilia mlangoni huku akijaribu kujisitiri na kanga yake. Alitoweka
 
Ndibalema Ni mwanadada ndio alikuwa akisimulia...ona aliulizwa huyo dada ulikuwa unafahamu!ambaye alikuwa anafanya mapenzi na mumeo!akajibu ni mama yake mzazi..that hata mie kwa kweli nilichoka...uhh mwanakijiji we I salute.

Busweluuu upoooo!! duh.. siku nyingi mkuu..
 
Love at first sight. Mrembo Clara macho kodo kwa kijana PJ.Wataalamu wenegine wamapenzi wanasema lobve at first sight ni nzuri na mara nyingi hudumu.Inapendeza mwanamkena mwanaume wakipendana kabla hata ya kutongozana,hii nido penzi la kweli,sio ile eti mpaka mwanamke atongozwe ndio afikirie kumpenda na yeye mtu huyo aliyemtongoza.Sij mwisho utakuwaje,Please Mwanakijiji usiwaachanishe hawa wapendanao ikizingatiwa kuwa huyu binti kajitunza vya kutosha..Waache waoane waishi kwenye ndoa ya amani na upendo.
 


toba yarabiiii!!!!...
 
Shukran mkuu,hadithi ni nzuri mno. Nadhani itatupa funzo jema kadiri inavyoendelea. Kila la heri mkuu.
 
MM shukrani, una hadithi nzuri mno. Hivi iile ya kumbatio la mwenye makosa mboa sijamalizia? nimesoma chapters 4 tu mwenzio...napatwa wazimu kabisaa na hadithi zako.


 
duh.. hii hadithi kwa kweli sitoweza kuiendeleza kwani itawaoffend baadhi ya watu.. hasa wenye misimamo mikali ya mapenzi; sorry guys.
 
duh.. hii hadithi kwa kweli sitoweza kuiendeleza kwani itawaoffend baadhi ya watu.. hasa wenye misimamo mikali ya mapenzi; sorry guys.

Duu,utakuwa hujatundea haki.Umetuonjesha utamu halafu utuachie njiani,sio fair kabisa..Tutakubaliana na hali,kwani maisha si ndio yalivyo?tupo tayari kwa vyoyote ulivyotunga.Tuendelezee hadithi hii tafadhali..
 
Jamani Mwanakijiji na hadithi zako hongera sana kazi nzuri..natamani siku moja uniazime kichwa chako

hhahha unataka kukocopy hadithi zote kwenye hard disk yako au flash? au uzisome hadithi zote....
 
duh.. hii hadithi kwa kweli sitoweza kuiendeleza kwani itawaoffend baadhi ya watu.. hasa wenye misimamo mikali ya mapenzi; sorry guys.

Lol Mwanakijiji vibaya hivyo mhhh umetupokonya tonge mdomoni:redfaces::redfaces::redfaces::redfaces::redfaces::redfaces:
 
thijui ni "kiherehere" gani kilinifanya niitafute hii hadithi mweh.. maana.. hadi mwenyewe nimeona aibu.. maskini Da' Bupe!
 
duh.. hii hadithi kwa kweli sitoweza kuiendeleza kwani itawaoffend baadhi ya watu.. hasa wenye misimamo mikali ya mapenzi; sorry guys.
unabeep halafu ukipigiwa unakata lol

halafu mwanakijiji kuna shairi nimeliweka jaribu kupitia
 
Hivi wewe Mwanakijiji ukoje na wewe babu... ..nini maana ya hadithi ? hebu tuwekeee ubaoni kila mtu ana msimamo wake mkali kimapenzi hakuna anayetania ,
kwa nini unapokonya tinge mdomonijamani ?????????
 
Hivi wewe Mwanakijiji ukoje na wewe babu... ..nini maana ya hadithi ? hebu tuwekeee ubaoni kila mtu ana msimamo wake mkali kimapenzi hakuna anayetania ,
kwa nini unapokonya tonge mdomonijamani ?????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…