wananiambia ati watu hawalipii kusoma vitabu!
nyaralego.. thanks! Nimekatishwa tamaa mno.. ila nikipata publisher nitajaribu nione itakuwaje..
hapana kwakweli!!hasa inavomuuisha mtoto wa shule wa kike
kama w mwenyewe unasita kwanini iliiweka hapa?
si uitoe na leta hadithi ingine
Ni kweli hata mie nakumbuka niliwahi kuipitia mitaa fulani lakini ni vyema akaendelea kutuwekea kumbukumbu hata kwa wale ambao hawajasoma waendelee kupata uhondo..
FD unakumbuka hadithi za dada Chiku?
hata Da chiku mwenyewe sijui yuko wapi..labda mwanakijiji atatupa majibuDuh.....il blogg?Bado ipo jamani?................
Oooh my GOD huyu binti anaenda kutolewa bikira yake kienyeji namna hiyo,ooh no.Mwanakijiji usiruhusu hilo..Hivi Bupe naye ana akili vizuri kweli,Lol...Jamani namuonea huruma Clara...
.....Huyu Clara kweli alikuwa mshamba khaaaaaaaa!!