**~** penzi la clara **~**

hii ndiyo sababu ya kutompa kura mwanaKJ kwani akianzisha issue haimalizi si mnaona mfano ni hii hadithi kwa hiyo akianzisha ujenzi wa barabara huku jimboni hatoisimamia iishe hahahahahahahahahaha huo ni mtizamo tu
 
hii ndiyo sababu ya kutompa kura mwanaKJ kwani akianzisha issue haimalizi si mnaona mfano ni hii hadithi kwa hiyo akianzisha ujenzi wa barabara huku jimboni hatoisimamia iishe hahahahahahahahahaha huo ni mtizamo tu

hivi haiwezekani akapewa ban hadi amalize hadithi ndo afunguliwe? au yeye ndo mwenye funguo
 
hii ndiyo sababu ya kutompa kura mwanaKJ kwani akianzisha issue haimalizi si mnaona mfano ni hii hadithi kwa hiyo akianzisha ujenzi wa barabara huku jimboni hatoisimamia iishe hahahahahahahahahaha huo ni mtizamo tu

ha ha ha umenichekesha Kasimba 123 ..Ila kwa nini MKJJ hataki kumalizia hii hadithi?
 
hivi haiwezekani akapewa ban hadi amalize hadithi ndo afunguliwe? au yeye ndo mwenye funguo
Du mkuu una hasira sana na MWKJJ, una bahati mbaya maana funguo anazo yeye!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…