Hahaaa hio sentesi ya mwisho imenichekesha sana, kinguchiro kinasubiri kubamizwa na yeye Hahaaa
Liverpool wamenichania mkeka wangu leo uliokuwa umekubali vizuri tu. Au Klopp kapiga dili na makampuni ya kubet?
Mondi ni misogynist(dislike women) ana story yake kabla hajawa star aliachwa na demu wake kwa sababu hana fedha...kwa kuwa hakuwa "player"ule uchungu umemganda mpaka leo...sasa ya Mungu sio Athumani kazipata...hata akimpata Miss world atamuacha tu..anahitaji counselling
Tunaambiwa mkenya anapendwa balaa na katuletea mtoto kopiraiti.
Movie tamu hii
Unajua hiyo kopiraiti sijawahi kuielewa kbs. Kila nikitizimana naona mapicha picha tofauti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww unapambana na lako.Hahhaahahah.Watajuana.Hayatuhusu. Kila mtu apambane na gume gume lake.
Nliwahi iskia mahali,Mondi ni misogynist(dislike women) ana story yake kabla hajawa star aliachwa na demu wake kwa sababu hana fedha...kwa kuwa hakuwa "player"ule uchungu umemganda mpaka leo...sasa ya Mungu sio Athumani kazipata...hata akimpata Miss world atamuacha tu..anahitaji counselling
[emoji2] [emoji2]Liverpool wamenichania mkeka wangu leo uliokuwa umekubali vizuri tu. Au Klopp kapiga dili na makampuni ya kubet?
Lile domo mbona Nasibu jr amelikosa, copy right gani hiyo.Wenyewe wanatuaminisha ni kopiraiti na utotoni
We unavyozani ni kweli wameachana?Tanasha hana pakwenda ndugu yangu. Kazi NRG Radio aliacha. Hana njia yeyote yakuingiza kipato zaidi ya mziki. Usishangae akigang’ania
Sent using Jamii Forums mobile app