KITAULO
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 1,926
- 2,797
Hahaaa hio sentesi ya mwisho imenichekesha sana, kinguchiro kinasubiri kubamizwa na yeye Hahaaa
Wanawaké wakati mwingine huwa hawajifunzi...unayaona kila siku...halafu mwisho wa siku unafurahia na wewe kuchezewa na mwanaume huyo huyo....mwanaume kazi ni kuwazalisha na kuwaacha kwenye mataa...
Tuache hayo je huwa hata wanawaza magonjwa ya zinaa kweli...