Penzi la Harmonize na Kajala Limevunjika Rasmi

Ndiyo maisha anayoyapenda haya

Starehe na matumiz tu

Uishi na kajala eti mpange,maisha [emoji1]

Ova
 
Niggers please am on my bended knee i beg you nawasihi tafadhali FANYENI KAZI
Ww unaefanya kazi tuko wote jf tena kwenye post moja mm nlijua wanaofanya kazi hjku jf Wanakua na post zao wanaziona special kumbe wote tuko sawa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usipende kuwa serious sana na maisha amini kwenye riziki basi utaishi kwa raha sana
 
Mume wa kajala hivi alishatoka jela.

Si aliolewaga huyo.

Au mapenzi yaliisha after Ile saga kutokea
Faraji,alishatoka jela

Yupo tbt tu ......

Hawa harusi yao hata mm nlikuwepo

Pale police officers merse kuserebuka

Siku ile tulipiga mvinyo wa maana hadi wengine pombe tuliondoka nazo

Huku tukiangaliq show za wakina dully na bushoke [emoji1]

Ova
 
Mume wa kajala hivi alishatoka jela.

Si aliolewaga huyo.

Au mapenzi yaliisha after Ile saga kutokea
Jamaa alimpa kajala mpunga mrefu ujuwe,wafanye taratibu wasepe
Wakati jamaa yuko TA Mafichoni kajala yuko mjini anaruka majoka
Tu
Kajala huyo huyo alipobinywa ndy alimchoma mme wake akadakwa [emoji1]

Huyo mmakonde bado sana kwa kaja
Maana hamuwezi

Ova
 
Ila mahusiano yenye influence ya public kudumu ni kwa nadra sana
 
 
Halafu mwanamke kama kajala sio rahisi kudumu kwenye relationship ,mahusiano yake ni Public base,yani anatafuta huruma sana kwenye jamiii ili mahusiano yake yaende,ogopa sana mapenzi ya hivi au mpenzi wako mkigombana tu anakimbilia kwa ndugu zake kukusema stupidy
 
Mada ya Bumbuli inahamishwa nani mfadhili wake
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…