Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maanisha nini hapa?kumbe kilomita zimetembea
Waweza mrudia ☓ kutokana na kwamba labda uliye nae, hana kiwango cha xSikuzote x harudiwi aisee,yaan ukiona umeacha afu ukabembelezwa ukajirudi jiandae kuachwa....wanakurudisha kulipa kisasi
Atapatikana mbele kwa mbele....hakika sirudii matapishi cute wanguWaweza mrudia ☓ kutokana na kwamba labda uliye nae, hana kiwango cha x
Una hela ya kumtunza mrembo mkuu????kajala njoo kwangu.sintokutesa[emoji41][emoji41]
HahahahaaaaaaUkifanya kazi wewe inatosha.
Shida baadhi ya vijana hawasikii, usijaribu kuoa mwanamke aliyekuzidi umri au mdogo sana kuliko wewe mtashindwana tu njiani.Mwanaume una miaka 25 unaoa mwanamke ana miaka 40 and vice versa lazima goma lizime njianiHarmonize angepelekana wapi na mama wa miaka 40+?
Ilikuwa ni lazima wangeachana tu haijalishi Nani ndo atawahi kumuacha mwenzie.
Una hela ya kumtunza mrembo mkuu????
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hao wenye helando wanamtesa.
Hapa miti tu.[emoji41][emoji41]
Welldone mpitimbimoja ,hii ndio diluted JF,njoo huku lingusenguse nikupe chupa ya ulanzi mkuu,hasa huu wa asubuhiInatusaidia nini sisi members wa JF kujua kuvunjika kwa penzi la watu??yaani mtu mzima unatumia muda wako kuandika JF kuhusu kuvunjika kwa penzi la watu??this is none sense,grow up
Ndio kina nani hao huko Daslam?
Hahahahahah hata hao wataachana tu..wachawi wakubwa tunasubiri nand na billnengaKamati ya roho mbaya, wanasubiri uzi wa Wema na Whozu [emoji41]
kile kina wivu na kila mwanamke anayefanikiwaMange ana wivu na Zari. Domo alichwa na hakuamini kama kaachwa. Mtu aliyeacha asingejishusha kama anavyojishusha daily yupo south na sio kenya wala kwa tununu.
Namshauri mange awekeze nguvu kumpigania mtoto wa tununu aachwe kutengwa na familia ya domo kuliko kila siku kumtolea simulizi mpya zari,mwenzie keshamove on na ana nyama za kutosha kuliko kile kibetina cha marekanj
Wewe huku celeb forum unafanya nini?Inatusaidia nini sisi members wa JF kujua kuvunjika kwa penzi la watu??yaani mtu mzima unatumia muda wako kuandika JF kuhusu kuvunjika kwa penzi la watu??this is none sense,grow up
Kapigana vita vingiUna maanisha nini hapa?
Au faraj [emoji1]Anawasamehe X zake na she is ready for the next, ngoja Pfunk majani ajirudishe taratibu...