bora umemtukana yani huyu sijui lusungo ni mbipi wa wap sijui!! afu anajifanya high class kwel kwel!! eti watu wengne tunaish maisha ya ushenzin pesa tunazotafta ni za chakula, pombe na ngono!! dah!!
Yani we ndo kima kabisa inaonesha akili huna!! huwez sema Diamond uwezo wake wa fikra hauvuki ngono na sifa il hali ndo msanii wa kwanza kuvuka boda kwa kiwango cha juu na kuwa hata insirational kwa wengine. Juz namsikia Chege kwenye interview anasema Diamond katufunua wasanii wengi sana. Jamaa yuko bright bwana!! mtu kua na akili si lazimanuende shule bwana. Wangap wana degree wako mtaan hawajafikiria hata kujiajir kwa kufungua ngo's etc. Respect Diamond anajituma bwana
Hata said a kaloli Wimbo wake umepigwa mpaka hollwood kwani yeye si mtanzania
Hata said a kaloli Wimbo wake umepigwa mpaka hollwood kwani yeye si mtanzania
Hata said a kaloli Wimbo wake umepigwa mpaka hollwood kwani yeye si mtanzania
Mkuu usipate shida na hao watoto Wa giza
Kabisa wanafumbua macho wanamkuta huyo chupi mkononi mwenzao basi kila nayewika wao wanajua ni jogoo tu
Nashangaa watu bwana ingekuwa ni wao wanaona mafanikio wakiambiwa eti haters
Mkuu hao ndo walewale wakukataliwa na baba wakakulia kwa Bibi...
90% ya maisha yao wanahangaikia kula...ngono...pombe...na miziki ya kishenzi...
Nimeusikia wimbo Wa mdogo wake domo anaomponda kakake ni ufedhuli na ufataani mtupu...
Ku deal na watu wa life style hiyo ni kazi nzito...
Mi nawadharau sana
Hilo ni kweli maisha ya uswazi ni majanga kwakweli hawa think beyond wakipata hela ni kubadilisha mademu pombe sifa za kijinga na skendo za kipuuzi uswahili mwingi na vigodoro hata uwaambie ukweli eti wanaonewa wivu kwa mafanikio sometimes shule inasaidia sasa wanafikiri ni kila kitu ama kweli maisha ya uswahili ni janga kweli
Kupitia Gazeti la Makorokocho leo mezani tumepata story ya muda mrefu ya penzi la siri kati ya Ommy Dimpoz na Jokate aka Kidoti.
Stori hii ilivuja baada ya beef la chini kwa chini kati ya Jokate na mwimbaji mmoja wa kike ambae hawana maelewano mazuri na chanzo kikidaiwa kuwa ni mwanamuziki huyu wa kike (jina lake linaanzia na herufi V(vannesa) kukuta meseji za Mapenzi kati ya Mpenzi wake huyo na dada yetu kidoti.
Chanzo kinasema Kidoti na Ommy Dimpoz walianza mapenzi ya siri kwa siri baada ya dada huyo kuachana na Diamond. Mapenzi hayo yalianzia huko Mikocheni A ambapo Ommy Dimpoz alikua akiishi nyumba ya kushare na kila bibie Kidoti alipokuwa akienda hapo watu walimuona na kuna kipindi dada yetu Kidoti alikuwa akiminya ndani ya gari bila kushuka mahaba yakiwa tele kwenye gari hilo.
Sasa wataalamu wa mambo wanasema dada yetu huyu anaonekana sana maeneo ya Kinondoni kati ka mjengo wa kupanga wa star huyu wa ndagushima chande na mapenzi yao bado inasemekana yanaendelea chini kwa chini lakini nje nje.
Ommy Dimpoz ameingizwa kwenye list ya wanaume walio na mapenzi ya siri na dada yetu Kidoti.
Sina muda Wa kukufwatilia fukara Kama wewe...
Wengine hatuhitaji kukujua physically ili Ku describe ulivyo...
Comments zako na mwenendo mzima Wa chsngizi zako hapa zinaonesha wazi jinsi ulivyo duni....
Nyie ndo miongoni mwa wale watoto Wa ushenzini walokulia malezi ya kishenzi ya kutomjua baba kwa tabia chafu za mama zao kuchanganya hovyo wababa....
You are not my caliber na ndio maana sehemu kubwa ya jamii yako mnashabikia wasanii Wa jamii yenu....
sikiliza we mbwiga.....sio tu nna shule yakutosha,makaratasi yake niliyonayo ni first class,profile yangu ni usipime. kipato kinanitosha sana,inshort maisha yangu nayoishi we utaishia kuyaota tu...alafu pamoja na yote ayo nnaishi maisha yangu to the fullest siigizi.....unapiga sana kelele hapa ila nakuhakikishia mi na wewe tukionana 121 hauna confidence ata ya kunisogelea achilia mbali kunisemesha...ndio maana nakwambia shukuru sana jf unaweza kuongea na mimi tena shukuru sana.
ok unasema mie natokea ushenzini,yer haujakosea sio natokea ushenzini bali umavini na niko proud sioni hatari,tuambie we umetokea chaka gani nchi hii? .. hakuna umavimavi nisioujua ss just imagine a nigga from uswazini ful maexposure ful unyama we skia tu huu muziki kama ulikuwa unapima..... sijakulia kota, washua walikuwa na maakili toka enzi izo wakajipanga uku ambapo leo mnapaita uswazi wakati wengine wakiwa kwenye makota na msajili. Dogo sku ingine usione watu wanajisocialize kwenye mitandao ukachukulia poa kila mtu. schupit!
we mkinga hilo povu lote la nini???
Hiyo inaitwa UKISKIA PAAAAAAA
we mkinga hilo povu lote la nini???
Hiyo inaitwa UKISKIA PAAAAAAA
Huyo ni mpumbavu tu hapa JF hana lolote jinga fulani tu limepewa ukweli mipovu mimate na miudenda inamtoka.
sikiliza we mbwiga.....sio tu nna shule yakutosha,makaratasi yake niliyonayo ni first class,profile yangu ni usipime. kipato kinanitosha sana,inshort maisha yangu nayoishi we utaishia kuyaota tu...alafu pamoja na yote ayo nnaishi maisha yangu to the fullest siigizi.....unapiga sana kelele hapa ila nakuhakikishia mi na wewe tukionana 121 hauna confidence ata ya kunisogelea achilia mbali kunisemesha...ndio maana nakwambia shukuru sana jf unaweza kuongea na mimi tena shukuru sana.
ok unasema mie natokea ushenzini,yer haujakosea sio natokea ushenzini bali umavini na niko proud sioni hatari,tuambie we umetokea chaka gani nchi hii? .. hakuna umavimavi nisioujua ss just imagine a nigga from uswazini ful maexposure ful unyama we skia tu huu muziki kama ulikuwa unapima..... sijakulia kota, washua walikuwa na maakili toka enzi izo wakajipanga uku ambapo leo mnapaita uswazi wakati wengine wakiwa kwenye makota na msajili. Dogo sku ingine usione watu wanajisocialize kwenye mitandao ukachukulia poa kila mtu. schupit!
Hata said a kaloli Wimbo wake umepigwa mpaka hollwood kwani yeye si mtanzania
kweli watu hatukatai km dai ana mafanikio ila hana hadhi ya AY au JIDE kulingan na mwenendo wake kila siku ujinga ujinga tu mi nahis ktk maisha yake hakufikiria kuja kua vile