Penzi la Lulu, Majizzo chalii..

lulu ananyota mbaya so ukitoka na lulu kama hujafa police watakusumbua sana inabidi akaoge maji ya bahari katikati kabisa
 
Hao wawili tangu wameanza kuzushiwa kuachana wala hawaachani...Huu ni uzushi tu.Kama ni ushirikina hilo analijua muna kistuli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…