Penzi la Lulu, Majizzo chalii..

Ila huyu hana nyota ya kudumu na mwanaume kabisaaa.... Ana nyota ya ujane[emoji23][emoji23][emoji23] sahivi naona kaongeza nyingine ya ushirikina[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
walikuwa mezani wanakula akapaliwa na chakula ndipo akatapika boonge la hirizi linahema, inasemekana lakini.
Itakuwa walimtegeshea kwenye chakula, ikashindwa kupita. Hana uchawi wa hivyo, uchawi ni mwili wake na sura yake.
 
Achana nao na hata ya watu wengine yaache usijiumize kichwa chako!
 
Mahusiano ya mastaa yakivurugika ata sishangai!
Ila hiyo ya Lulu na matunguli niliwai isikia, sidhani kama ni kweli. Si walisema kua kila mwanaume anaelala nae anakufa kwa sababu ya Kanumba na Komba!
 
Mahusiano ya mastaa yakivurugika ata sishangai!
Ila hiyo ya Lulu na matunguli niliwai isikia, sidhani kama ni kweli. Si walisema kua kila mwanaume anaelala nae anakufa kwa sababu ya Kanumba na Komba!
Mwacheni atafute tiba mbadala jamani aliyopitia na anayosemwa nayo yanaweza kumuumiza yeyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…