Penzi la Lulu, Majizzo chalii..

Penzi la Lulu, Majizzo chalii..

enh sa kumbe kitu gani we utoe huyu uingie huyu ,ndo labda yake IMEPIGWA CHAPA KWA MATUMIZI HALALI YA WENYE HELA!
huyo wema na umaaufu wote tokea alivompata CK hajapata tena mwanaume wa maana
sasa lulu
komba,kanumba(kanumba kipindi anakufa was in his peak days in everything)
seti sijui nani yule wa goba
haya huyu majizzo(haijalishi za ngada au za nini ila anazo)

hawa wote wanavyutwa na ule ufupi na kamwili ka kitoto au?
si wangedate watoto wa darasa la II B?
Watakuwa wanavutwa na sura yake. Yuko vizuri. Ila wanaume wengine wana Kasumba ya kupenda watu wenye.jina. wanajihisi vidume. Wala hakuna.sababu nyingine.
 
Watakuwa wanavutwa na sura yake. Yuko vizuri. Ila wanaume wengine wana Kasumba ya kupenda watu wenye.jina. wanajihisi vidume. Wala hakuna.sababu nyingine.
Lulu ni mzuri kwa kweli na ni maarufu ila kuna wazuri kumzidi so anachofanya ni kujiongeza kidogo kwa kina karumange mwaigo
 
Hivi ile kesi ya mauaji ya Steven Kanumba ilishamalizika? Maana sikuifuatilia kabisa. Ila kama bado hukumu basi kweli katoto ni kalozi haka. Ila kanaua sana. Halafu pia kama ni kweli Majizzo kaona uchawi ujue basi na yeye atakuwa amewekwa sana sana kiasi kwamba huwezi muwangia. Tunguli zinazidiana uzito ati.
Ndiyo mlipigwa ndumba mkasahau kesi
 
enh sa kumbe kitu gani we utoe huyu uingie huyu ,ndo labda yake IMEPIGWA CHAPA KWA MATUMIZI HALALI YA WENYE HELA!
huyo wema na umaaufu wote tokea alivompata CK hajapata tena mwanaume wa maana
sasa lulu
komba,kanumba(kanumba kipindi anakufa was in his peak days in everything)
seti sijui nani yule wa goba
haya huyu majizzo(haijalishi za ngada au za nini ila anazo)

hawa wote wanavyutwa na ule ufupi na kamwili ka kitoto au?
si wangedate watoto wa darasa la II B?
Na yule seki mfanya biashara wa madini
 
Back
Top Bottom