Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Kwa hiyo mkataba wao umeshaisha?Mapenzi na ngono ni vitu viwili tofauti. Wale hawakuwa wapenzi ni wana ngono
Nimewafuatilia sana yani ,nimepeleleza weeeee lakini wapi nimetoka bila bila.aisee!
Eti umefuatilia muda mrefu
Hance Mtanashati is officially not a gentleman. Huyu ni aina ya wavulana wenye miaka 37 halafu chupi ananunuliwa na mama.aisee!
Eti umefuatilia muda mrefu
Sawa.Hance Mtanashati is officially not a gentleman. Huyu ni aina ya wavulana wenye miaka 37 halafu chupi ananunuliwa na mama.
Real man hana muda wa kumfuatilia mama diamond, real man anafuatilia hela, anawaza hela, ananusa hela zilipo usiku na mchana
Vitu vingine ni aibu kufanywa Na mwanaume.Nimewafuatilia sana yani ,nimepeleleza weeeee lakini wapi nimetoka bila bila.
Sawa.Vitu vingine ni aibu kufanywa Na mwanaume.
Kweli kabisa Mkuu!Hance Mtanashati is officially not a gentleman. Huyu ni aina ya wavulana wenye miaka 37 halafu chupi ananunuliwa na mama.
Real man hana muda wa kumfuatilia mama diamond, real man anafuatilia hela, anawaza hela, ananusa hela zilipo usiku na mchana
Tusipofatilia nyinyi huku celebrities forum mtapata wapi habari?Kweli kabisa Mkuu!
Huwezi kuwa Mwanaume uliyekamilika eti linafuatilia mapenzi ya watu!
Aibu sana
Ukitumia nguvu hizo hizo kumpeleleza mtoto wake namna anavyoingiza fedha huku ukimpeleleza mwanae utatoka na bonge ya kituNimewafuatilia sana yani ,nimepeleleza weeeee lakini wapi nimetoka bila bila.
ha hahaaVitu vingine ni aibu kufanywa Na mwanaume.