Penzi la Mbosnia likauwa………..!


Dada mkubwa, hii sijatunga mimi, bali nimeandika kutokana na taarifa za kesi hiyo. inawezekana nilitafsiri kutoka kiingereza kwenda kiswahili moja kwa moja bila kuweka tafsida, lakini nimeliona hilo kosa nitajaribu kutafuta maneno yatakayowafurahisha.
 

Kuna wakati nilihisi hitimisho litakua Tucker alimuua Carol kwa kutumia utaalam wake......
Tucker alikuwa ni mtalaamu wa silaha za Nyukilia, Baiolojia na silaha za Kemikali
 
Mbona hadith mnasoma za magazet?sio ndefu hat kidogo. Wnaume tuache vibustni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…