Penzi la mhudumu wa 'Lodge' Dodoma limenikosha mwenzenu

sababu ya kumpenda zaidi na kummiss ni ulipewa bure
🤔 hawa ndo wanaume wa leo wasiopenda gharama..

saa hii tungeskia madada wenye mishep lodge wanamimajii na mabwawa n.k


mitaa ya makole, chakonichako, cda ya zamani hyo ndo styl za malaya za kujiuza ujichanganye vya dezo utajikuta ushaoa bila kujijua ni km mtoa mada ashasema wakwake peke ake.

guys taften pesa vya bure ni vya kijiji.
 
sababu ya kumpenda zaidi na kummiss ni ulipewa bure
🤔 hawa ndo wanaume wa leo wasiopenda gharama..

saa hii tungeskia madada wenye mishep lodge wanamimajii na mabwawa n.k


mitaa ya makole, chakonichako, cda ya zamani hyo ndo styl za malaya za kujiuza ujichanganye vya dezo utajikuta ushaoa bila kujijua ni km mtoa mada ashasema wakwake peke ake.

guys taften pesa vya bure ni vya kijiji.
 
Madhabahu ya shuhuda hizi ni uzi wa kula kimasihara na kuhani wake ni rikiboy
 
Mbona amesha sema alimpa hela,demu aka goma? Mpaka demu mwenyewe kusema yeye siyo kahaba hajiuzi

Nakazia uzi upelekwe kwenye uzi wa masihara.


View attachment 2281361
 

Makole ndo tulipokulia aseee. Wahudumu wa lodge wanatokea singida au kondoa.
Warangi wanyaturu wanyiramba ni kabila muhimu sana kwenye kuliwa kimasihara
 
Hahahaa, hivi viwanja vinauzwaje hapo mkuu?
Makole pale mbona pamejaa kwa kweli square mita ina bei ya dhahabu. Kamani viwanja
Tafuta huko kisasa huko ndali ihumwa ndachi chidachi ntyuka na kwingineko.
Kama ni malaya wa kirangi utawapata tuu. Tena kwa bei ndogo sana sawa na bure. Maana wanawake wa kirangi dudu kwao kama chai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…