Penzi la mhudumu wa 'Lodge' Dodoma limenikosha mwenzenu

Wafanyakazi wa lodge/hotel huwa hawafanyagi ujinga huo...kuliwa na wateja wao tena ndani ya lodge/hotel wanayofanyia kazi! Ni mwiko na huwa wako makini sana na hili, na huwa wanatahadharishwa kila iitwapo leo na viongozi wao!

Hapo umetwibia braza....hii ni chai!
 
Hawezi akakubali kuliwa kizembe namna hiyo...na huku aki take risk kubwa ya kupoteza ajira yake....
 
Juzi nimepima ukimwi baada ya miezi minne kupita toka nilivyo kula malaya kavu anaejiuza baada ya kuniambia niongeze buku kwenye elfu tatu niliyompa

Najua haiwahusu ila kesho naenda kujitamba kwa mjomba nimenunua na kiredio cha kuvimbia

Aliniambia lazima nife kwa ukimwi labda hajatoka tumbo moja na mama .

Sasa kesho naenda kumtambia
 
Tupo katika msimu wa baridi kali, jana nilikuwa Dodoma kikazi, nikamaliza mambo yangu muda ukiwa umesonga sana nikaona busara ni kulala ili asubuhi na mapema nianze safari kurejea mkoani kwetu.
Kimsingi ulitumia kinga au uliingia mzima mzima!
 
Tupo katika msimu wa baridi kali, jana nilikuwa Dodoma kikazi, nikamaliza mambo yangu muda ukiwa umesonga sana nikaona busara ni kulala ili asubuhi na mapema nianze safari kurejea mkoani kwetu.
Mimi huwa nafika sana kwenye hiyo lodge.Huyo mrembo wewe ulimfuata ila mimi alinifuata nikamkatalia kwa vile nyumbani huwa nawacha wake zangu 4.ni wazuri kuliko yeye.Zaidi ya hapo nasikia ana ngoma na keshaondosha vijana kadhaa.Nahofia alikataa zawadi yako kwa vile alikuwa ameshakuwachia zawadi yake.
 
Ulipiga peku eti? Bora urudi chaputa
 
Ulimpa zawadi Jana na wewe alikupa zawadi Jana, namba ya simu ni ili akuingize katika orodha ya aliyowapa zawadi
 
Mwishoni na kwenye hela umetupiga kamba🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…