Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,357
Umeona eeh, kum-date tu kwanza ni kuchemsha, kujibizana naye ni kutokotesha kabisa.
Bora angekaa kimya kuliko kujibizana matusi makuubwa, mjinga na mwerevu wanakuwa hawatofautiani.
wanawake sisi baadhi yetu akili zetu sijui hatukuzaliwa nazo? nimeona sijui wapi tayari ana bwana mpya, anasema hata CL sijui sio mkenya tena aliemuanika kwamba kamnunulia imekuwa bwana wa ki west, aisee huyu mwanamke ana ndugu/jamaa/marafiki? kwanini nao wanamuacha anajidhalilisha hivi? desperate kuolewa ama? kubadilisha gani wanaume huku? hivi ni kichaa ama unamtumia mtu kama prezoo mpicha ule? unategemea nini?