Penzi la Prezzo na Wema Sepetu lazua utata

Penzi la Prezzo na Wema Sepetu lazua utata

Jamaa anatafuta kick..Diamond atemane naye tu.....mimi ni mfuatiliaji wa michezo ya citizen tv......kwenye mchezo wa Papa Shirandula..kuna kipande Awinja na mwenzake walikuwa wanacheza na kuimba NGOLOLO...then kwenye inspekta Mwala..kuna kipande msela mmoja alicheza yupo tungi barabarani anaimba....NATAKA KULEWA.

Pia inawezekana amesikia Diamona kuwa nominated kwa awards kadhaa za kimataifa...so anataka kumtoa kwenye mstari.

nimewah ckia na kuona hcho kipande cha papashirandula
 
Back
Top Bottom