Penzi la raha na mwalimu wangu wa hesabu

Penzi la raha na mwalimu wangu wa hesabu

so2.jpg
istock_iofoto-6-elementary-age-boy-with-teacher-in-classroom-c.jpg
 
Ngoja aje, cha muhimu ni kuafuta njia za kudhibiti hisia zinapokupeleka pabaya. Hisia zilikuwepo hata zamani cha muhimu ni jinsi ya kudhidhibiti. Ngoja G amalizie story yake kama mwanafunzi wa sasa nami nielezee kama mwalimu wa siku nyingi/ zamani nilipokuwa kwenye teaching practice . Ndio maana G aliokoka kwani kuna njia mbalimbali za kudhibiti hisia zinazoelekea kukupeleka sipo!
 
Nakubaliana kabisa na Price. Kijana anakipaji cha kutunga riwaya. Na hii riwaya yake ameianza vizuri sana. Kwangu mimi nimevutiwa sana na uandishi kiasi cha kwamba kama hadithi ni ya kweli au kufikirika hilo halinihusu. Kwa kweli kijana tambua unakipaji na hii hadithi yako ukiiandikia kitabu mimi nitanunu copy 10 kama bei itakuwa maximum 10,000. Hongera sana maana umenikumbusha riwaya ya "kivumbi uwanjani" tulipewa mwezi mmoja kabla ya kumaliza la saba. Umenifurahisha kwa kweli
 
Nakubaliana kabisa na Price. Kijana anakipaji cha kutunga riwaya. Na hii riwaya yake ameianza vizuri sana. Kwangu mimi nimevutiwa sana na uandishi kiasi cha kwamba kama hadithi ni ya kweli au kufikirika hilo halinihusu. Kwa kweli kijana tambua unakipaji na hii hadithi yako ukiiandikia kitabu mimi nitanunu copy 10 kama bei itakuwa maximum 10,000. Hongera sana maana umenikumbusha riwaya ya "kivumbi uwanjani" tulipewa mwezi mmoja kabla ya kumaliza la saba. Umenifurahisha kwa kweli
Usijali mkuu story imeendelea..fuatilia part 2 iko hewani!
 
Mkuu grafani11 hiyo comedy wanayooiita bunge la katiba mi sifuatilii maana wanachoongea sana ni posho posho posho sasa mimi niwasikilize wananisaidia nini
Mkuu hata usiposikiliza haibadili msimamo wa Comedians kukutengenezea Katiba ya ki-comedian na ndiyo hiyo hiyo itakayotuongoza wote
 
Mkuu hata usiposikiliza haibadili msimamo wa Comedians kukutengenezea Katiba ya ki-comedian na ndiyo hiyo hiyo itakayotuongoza wote


Kinachofanyika ni kuondoa mawazo ya watu kutoka kufuatilia kile kinachoendelea ndani ya bunge na kuwakasirisha watu kwa mjadala wa posho wakija kumaliza kubishana kuhusu posho katiba ishapitishwa
Hapa bongo kuna hizo mambo sana kukiwa na topic moto moto wanapitisha kitu kingine hapo watu wanasahau kile kilichokuwa kinajadiliwa wanaanza kujadili kile kilichotokea
Kumbuka issue ya EPA na babu wa Loliondo
 
Uliona rahaaa mwenyewe!, (zali la mentali).
Nenda ukapime, hata ka umeokoka.
:spy:
 
Back
Top Bottom