Penzi la raha na mwalimu wangu wa hesabu

Penzi la raha na mwalimu wangu wa hesabu

Sasa we ka test tu unapagawa hivoo.....Halafu hayo mambo ya subirini kesho niwamalizie uhondo umeyatoa wapi... Toa hbr kamili
 
Mwalimu wa hesabu na vimini wapi na wapi?tafuta somo lingine ulete uhalisia kwenye hadithi yako.
 
Huu ni ushuhuda mkuu.!

ushuhuda kwenye mambo ya mvuto wa mapaja na mihemko ya vijana hufanyiwa paraphrasing. lugha huwa ya kitumishi na siyo ya fasihi pendwa. Roho Mtakatifu aongee nawe namna ya kutoa ushuhuda kama Mungu alikupa kibali cha kutoa ushuhuda huo)
 
Hamjagonga like za kutosha,mie nilianza stori humu ikaishia part one kwa sababu ya uzito wenu wa vidole!gonga kitufe cha like ndo tuendelee
 
Hadithi iendelee bac ......punguzeni majungu iyo nistory tu Loh !!!people?
 
Ulikuwa kilaza mkuu..mwenye akili huwa hachani aliponyia kisa uchafu ili aanze upya.. Instead huchukua pale alipofanyia na kuangalizia huku akikopi kwene karatasi mpya..
bottom line : u make a good shigongo
 
Ulikuwa kilaza mkuu..mwenye akili huwa hachani aliponyia kisa uchafu ili aanze upya.. Instead huchukua pale alipofanyia na kuangalizia huku akikopi kwene karatasi mpya..
bottom line : u make a good shigongo

wewe jamaa umeongea point sana. Umeongea vile nilvyovifkria.
 
Back
Top Bottom