[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila nyie watu khaaahHakuna watu hatari Kam jobless au vijana wanaonza maisha, wanawake wengine hawajawahi kulambwa vinyeo.... Vijana wanapiga deki mitaro yote
Sasa wataishijeTeam #kataandoa waendelee na campaign bila kupingwa.
Madem kama hawa sio wakuweka ndani kaka kwanza ni muongo na stori yake alafu ni kmaalaya fulani hakana akili""My husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo""
Ila nyie wanawake.
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]kazi ipo.....kumbe mnaangalia hadi mishipa [emoji23]
Good adviceShetani hana rafiki na lengo lake huwa ni kuharibu tu.
Sentensi hii utaielewa baadae Sana.
Kutoka nje ya ndoa ni kuingia mkataba wa kufanya kazi na shetani.
Unachotakiwa kufanya ni kutubu toba ya kweli Kwa dhambi ya uzinifu kisha ubadili Tabia yako na utoe sadaka Kwa wenye changamoto za maisha ili kuomba huruma ya muumba.
Nakuhakikishia unaposex na mumeo shetani huwa katikati ya tendo maana unavunja mkataba mlioingia Kama Fei na Yanga na hapo ndipo utapojua mkataba hauvunjwi Kienyeji
Ww ujawai kufanya usaliti?Kuna tofauti gani kati yako na Malaya?? Yaani unasaliti ndoa yako alafu unaleta ujinga kama huo humu ndani??
Happy Easter Monday MMU Family...... Hope all is well and if not,we hope for the bright tommorow......
Back to the topic Nashukuru Mungu, I am married, And a mother of four kids,
Miaka hiyo Nilikuwa nashangaa Sana kusikia mwanamke ameolewa halafu anacheat oh Nilikuwa nashangaa Sana not until Siku imenibidi kwenda mbali na familia kufanya kazi nikadata na kijana mapenzi motomoto.
Ni Mwaka Sasa umepita tangu nimeanza kucheat. But ndugu zangu Mwaka Jana Nilienda kuona Familia yangu I was surprised wakati wa kushare tendo la ndoa na mume wangu nilikuwa sihisi chochote. Ni Kama ananibaka vile. I was sooo dry in such a way that Nilikuwa nauguza maumivu in my private parts.Nilikuwa nafanya tu Basi nisigundulike na kufake ku mourn sex. I came back to work and life was Ok. Sasa This Easter nimepata likizo Niko na mume wangu, but it's the same story .Simfeel hata kidogo, Nimenunua hata na Perfume anayotumiaga kijana nilijua maybe itanisaidia but sioni tofauti na imagine Niko na muda Sijakutana na Kijana( nilipigwa kibuti baada ya kumuambia ukweli kwamba am married and I have four kids[emoji28] after like a month he came back but na Mimi nikaona nimzingue)of which I was expecting nitakuwa na sex feelings kwa mume wangu but I don't feel him, wakati when am alone I feel kabisa I need sex but kuja kumuona as if sio mimi.
Yesterday night niliwaza mengi Sana.... I wish ningeweza ku undo what I did but I can't, we had sex but I was Off off Mood. Nikaanza hata kufanya comparison ya kijana na mume wangu, niko nampapasa lakini akili yangu inawaza blood veins zake hazionekani Kama kijana, ananikiss Niko najisemea but this kiss sio Kama ya kijana[emoji27] . Nimewaza Sana Nakatamani ingewezekana kuishi pamoja Ila Sex tusifanye. Tufanye majukumu mengine tu. My husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo nimejaribu hata kufikiria mazuri yake nirudishe feelings but nimeshindwa Mimi. Naombeni kwa aliyepitia situation Kama ya kwangu anisaidie what to do please nipate feelings na mume wangu or kwa wanandoa is it possible kugawana vumba na kuendelea na Mambo mengine bila sex na mkaishi kwa amani?. Ningeweza kudai talaka but nawaza pia this man is too good, angekuwaga ni monster hapa ndo ingekuwa mlango wangu wa kutokea, but he is a humble man and he loves me alot
Please be soft to me please [emoji120]. Thank you
NB: Dear MMU wives if you never cheated on your husband please don't Dare to do it please.
NakaziaMwanamke mjinga huvunja ndoa yake kwa mikono yake
Chai chai chai chai
Unataka ushauri gani wakati ulishajishauri na kutekeleza? Hisia zimeshakata kwa mume wako, wewe cha msingi edelea na kijana wako.Happy Easter Monday MMU Family...... Hope all is well and if not,we hope for the bright tommorow......
Back to the topic Nashukuru Mungu, I am married, And a mother of four kids,
Miaka hiyo Nilikuwa nashangaa Sana kusikia mwanamke ameolewa halafu anacheat oh Nilikuwa nashangaa Sana not until Siku imenibidi kwenda mbali na familia kufanya kazi nikadata na kijana mapenzi motomoto.
Ni Mwaka Sasa umepita tangu nimeanza kucheat. But ndugu zangu Mwaka Jana Nilienda kuona Familia yangu I was surprised wakati wa kushare tendo la ndoa na mume wangu nilikuwa sihisi chochote. Ni Kama ananibaka vile. I was sooo dry in such a way that Nilikuwa nauguza maumivu in my private parts.Nilikuwa nafanya tu Basi nisigundulike na kufake ku mourn sex. I came back to work and life was Ok. Sasa This Easter nimepata likizo Niko na mume wangu, but it's the same story .Simfeel hata kidogo, Nimenunua hata na Perfume anayotumiaga kijana nilijua maybe itanisaidia but sioni tofauti na imagine Niko na muda Sijakutana na Kijana( nilipigwa kibuti baada ya kumuambia ukweli kwamba am married and I have four kids[emoji28] after like a month he came back but na Mimi nikaona nimzingue)of which I was expecting nitakuwa na sex feelings kwa mume wangu but I don't feel him, wakati when am alone I feel kabisa I need sex but kuja kumuona as if sio mimi.
Yesterday night niliwaza mengi Sana.... I wish ningeweza ku undo what I did but I can't, we had sex but I was Off off Mood. Nikaanza hata kufanya comparison ya kijana na mume wangu, niko nampapasa lakini akili yangu inawaza blood veins zake hazionekani Kama kijana, ananikiss Niko najisemea but this kiss sio Kama ya kijana[emoji27] . Nimewaza Sana Nakatamani ingewezekana kuishi pamoja Ila Sex tusifanye. Tufanye majukumu mengine tu. My husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo nimejaribu hata kufikiria mazuri yake nirudishe feelings but nimeshindwa Mimi. Naombeni kwa aliyepitia situation Kama ya kwangu anisaidie what to do please nipate feelings na mume wangu or kwa wanandoa is it possible kugawana vumba na kuendelea na Mambo mengine bila sex na mkaishi kwa amani?. Ningeweza kudai talaka but nawaza pia this man is too good, angekuwaga ni monster hapa ndo ingekuwa mlango wangu wa kutokea, but he is a humble man and he loves me alot
Please be soft to me please [emoji120]. Thank you
NB: Dear MMU wives if you never cheated on your husband please don't Dare to do it please.
[emoji1787][emoji16][emoji16] Jazia jazia nyama yasemwayo yapoSiviamini vidada ambavyo Kila baada ya sentensi vinaingizia maneno ya kiingereza.
Muache tu jamaa yetu ,uende kwa kijana wako
Siku ukinyonywa ndo utaelewa unaweza ukasema huyu mmama wa huu uzi hana makosa 😀😀😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila nyie watu khaaah