Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Veins kama veins awwanasemea mme wake hana mishipa mikononi 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Veins kama veins awwanasemea mme wake hana mishipa mikononi 😂
we haya 😂Veins kama veins aww
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu sema kweliiiiSiku ukinyonywa ndo utaelewa unaweza ukasema huyu mmama wa huu uzi hana makosa [emoji3][emoji3][emoji3]
😀😀😀 unamshaurije dada yetu aliyenogewa na de libolo ya kijanaHivyo ni vijimambo tu😅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu weuweeeeeee!!!!Wanandoa wengi wanaishi kwa mazoea, pia hua hawabadili mahali pa kus*x, inafanya s*x kuwa co kit Cha ajabu.... Mkiwa mnachange location hata ubongo hua nao unabadilika mnyanduani unaanzia kweny ubongo , co geuka chomeka pwaaa! Mmelala... Mue mnatok hat nyuma ya nyumba saa 8 za usik unamuinamisha Cha masikhara mnarud ndan....
Oii mule mule aisee.. Atatuulia mwamba..Siviamini vidada ambavyo Kila baada ya sentensi vinaingizia maneno ya kiingereza.
Muache tu jamaa yetu ,uende kwa kijana wako
phvck YeahBango lako lina shine kweli kweli😀
Km wewe ni Christian funua Bible kisha soma Mathayo 27:52-53 ukimaliza ni-quote ili niendeleeMy husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo nimejaribu hata kufikiria mazuri yake nirudishe feelings but nimeshindwa Mimi. Naombeni kwa aliyepitia situation Kama ya kwangu anisaidie what to do please nipate feelings na mume wangu or kwa wanandoa is it possible kugawana vumba na kuendelea na Mambo mengine bila sex na mkaishi kwa amani?. Ningeweza kudai talaka but nawaza pia this man is too good, angekuwaga ni monster hapa ndo ingekuwa mlango wangu wa kutokea, but he is a humble man and he loves me alot
Please be soft to me please. Thank you![]()
Kiukweli sina cha kumshauri😀😀😀 unamshaurije dada yetu aliyenogewa na de libolo ya kijana
Dah! Wanawake hakuna namna unaweza kuwaelezea ukapta htimisho kifupi ni tatizo japo cwaungi mkono wazee wa kukataa ndoaMy husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo
Happy Easter Monday MMU Family...... Hope all is well and if not,we hope for the bright tommorow......
Back to the topic Nashukuru Mungu, I am married, And a mother of four kids,
Miaka hiyo Nilikuwa nashangaa Sana kusikia mwanamke ameolewa halafu anacheat oh Nilikuwa nashangaa Sana not until Siku imenibidi kwenda mbali na familia kufanya kazi nikadata na kijana mapenzi motomoto.
Ni Mwaka Sasa umepita tangu nimeanza kucheat. But ndugu zangu Mwaka Jana Nilienda kuona Familia yangu I was surprised wakati wa kushare tendo la ndoa na mume wangu nilikuwa sihisi chochote. Ni Kama ananibaka vile. I was sooo dry in such a way that Nilikuwa nauguza maumivu in my private parts.Nilikuwa nafanya tu Basi nisigundulike na kufake ku mourn sex. I came back to work and life was Ok. Sasa This Easter nimepata likizo Niko na mume wangu, but it's the same story .Simfeel hata kidogo, Nimenunua hata na Perfume anayotumiaga kijana nilijua maybe itanisaidia but sioni tofauti na imagine Niko na muda Sijakutana na Kijana( nilipigwa kibuti baada ya kumuambia ukweli kwamba am married and I have four kids[emoji28] after like a month he came back but na Mimi nikaona nimzingue)of which I was expecting nitakuwa na sex feelings kwa mume wangu but I don't feel him, wakati when am alone I feel kabisa I need sex but kuja kumuona as if sio mimi.
Yesterday night niliwaza mengi Sana.... I wish ningeweza ku undo what I did but I can't, we had sex but I was Off off Mood. Nikaanza hata kufanya comparison ya kijana na mume wangu, niko nampapasa lakini akili yangu inawaza blood veins zake hazionekani Kama kijana, ananikiss Niko najisemea but this kiss sio Kama ya kijana[emoji27] . Nimewaza Sana Nakatamani ingewezekana kuishi pamoja Ila Sex tusifanye. Tufanye majukumu mengine tu. My husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo nimejaribu hata kufikiria mazuri yake nirudishe feelings but nimeshindwa Mimi. Naombeni kwa aliyepitia situation Kama ya kwangu anisaidie what to do please nipate feelings na mume wangu or kwa wanandoa is it possible kugawana vumba na kuendelea na Mambo mengine bila sex na mkaishi kwa amani?. Ningeweza kudai talaka but nawaza pia this man is too good, angekuwaga ni monster hapa ndo ingekuwa mlango wangu wa kutokea, but he is a humble man and he loves me alot
Please be soft to me please [emoji120]. Thank you
NB: Dear MMU wives if you never cheated on your husband please don't Dare to do it please.
Sasa kumwita mwenzako malaya ndiyo nini? Kwani nyinyi munaojifanya wasafi huwa hamukosei?Wanawake wengi wanaotumia kiswanglish ni Malaya tu. Kisa kijana tu amefanya usahau yote mliyotengeneza na mumeo mpaka mkafikisha watoto wanne? Huyo kijana una future nae?.
Oa bwana watu hatufanani.
Ndio ni kutoa taarifa, ila baada ya taarifa ni kuondoka ama sivyo!Kuaga ni kutoa taarifa sio kuondoka
Yeye anataka alowane kwanza ndipo apelekewe moto; sasa wewe unaleta mambo ya mstari mara igunga 20:1-12, huo mstari utamuongezea kulowana kweli.Km wewe ni Christian funua Bible kisha soma Mathayo 27:52-53 ukimaliza ni-quote ili niendelee
Nitakuja kuendelea