Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake mwenyewe kwa mikono yake. Itoshe kusema Mimi ningekuwa huuyo kijana wako, siku ukiniambia tu nakupiga chini. Wewe n mwanamke anayeongozwa na hisia si akilia
 
Aisee

Wewe dada sitamani kukuhukumu as sijakamilika ila unavunja ndoa yako kwa mikono yako mwenyewe.

Hao watoto wako wanne watateseka na ndoa utaikosa na kijana utamkosa

Nimeumia

Pls achana na huyo kijana
 
Ushuhuda wako unatufundisha mengi kuhusu long distance relationships
 
Wachagga wa Kibosho, wana usemi wao unaosema “warimuu mbaandu”. Yani “mashetani ni watu”. Usitegemee watokee kuzimu. Ni binadamu wenzetu tunaoishi nao.

Sasa umepigwa miti nje ya ndo, halafu unataka upewe ushauri kwasababu tu umenogewa. Wtf.😄
 
Umeamua tu kuwadhalilisha wanawake wenzako wanao jitambua, ili wote muonekane hamna akili! Hamjitambui! Mwalimu wenu ni kipofu, na bla bla nyingine.

In short hauko fair hata kidogo.
 
cha kwanza stori ni babu chai wa zanzibar alaf huna akili na pia pole sana kwa kuwa na imagination za kipumbavu ww hata ukiwa na watt basi ndobwale wanakuaga mashoga
 
Wachagga wa Kibosho, wana usemi wao unaosema “warimuu mbaandu”. Yani “mashetani ni watu”. Usitegemee watokee kuzimu. Ni binadamu wenzetu tunaoishi nao.

Sasa umepigwa miti nje ya ndo, halafu unataka upewe ushauri kwasababu tu umenogewa. Wtf.😄
 
Daaah huyu mwanaume alikukosea nini?
 
Umejitahidi kutunga hadithi! Umekosea kidogo tu!!
 
Hizi bangi wanawake mnavutiaga chooni au bafuni
 
Uliambiwa utamchoka. Hata huyo kijana utamchoka pia
 
Hao watoto wanne, mkubwa ana miaka mingapi na una 32 tu?? Kama chai hivi

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Yani nimesoma alichokiandika mara mbili mbili Kama yupo serious hawa watu nimenyoosha mikono juu, yani yupo radhi kuharibu mti mwema aliopanda ukazaa matunda kanisikitisha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…