Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unawatoto wanne na bado unataka kukimbia ndoa[emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa viumbe akili zao sawaa wotee haijalishi umri wao ndo maana lazima MWANUME AWE KICHWA CHA FAMILIA MKEO UMUONGOZE WEW... yani ana akili ya binti wa miaka 16 kabisa
 
Sikiliza moyo wako. Omba talaka uolewe na kijana. Mumeo wa zamani atakua na amani nawe utaishi maisha matamu ya raha na mumeo mpya
 
Sikiliza moyo wako. Omba talaka uolewe na kijana. Mumeo wa zamani atakua na amani nawe utaishi maisha matamu ya raha na mumeo mpya
😀 😀 😀Kesho watoto wakikua waambiwe mama yao alienda kuoelewa...
 
Harakati za penzi jipya huwa zinafanya watu waache kutumia akili. Use your brain we mwanamke moyo usukume damu tu.
 
Kibinadamu hali hiyo hutokea kwa muda kisha hupita, kipindi cha hisia kali huendana na mawazo ya uongo sana ambayo yapo kinyume kabisa na ukweli wa kimaisha, baada ya muda c mrf hisia hizo hupita na ukweli wote hutokea mbele ya mtu, hapo kama ulijichanganya ukafanya maamzi ya aina yoyote kipindi hicho, basi majuto na machozi huwa sehemu kubwa ya maisha yako. Washauri wanashauri usifanye maamzi ya aina yoyote wakati umependa sana au umechukia sana, jipe muda, subiri akili yako ifanye kazi ikishirikiana na undani wako. Ukweli kuhusu mada ya mtoa mada ambao kwa sasa hawezi kuuona wala kuuelewa na hata asitake kuusikia kwa vile milango yake ya fahamu ya nje na ndani yote imefungwa na "hisia" ni huu:- anamkosea Mungu wake, anamkosea mume wake, anawakosea watoto wake, anaikosea jamii yake, anaikosea na nafsi yake mwenyewe na madhara ya kosa analolifanya ni kuharibu kote huko anapokosana nako iwe anajua au hajui... ukwel huu ataujua muda c mrefu kwani lazima aujue tu, muhimu asifanye maamzi ya aina yoyote kwa sasa ili ukwel wote ukisimama mbele yake, awe na mlango wa kurudia, maamzi ya aina yoyote wakati huu yatafunga mlango huo na hivyo kuwa taabu kuufungua kwani ni lazima atauhitaji...nasema kwa uhakika sana mambo haya kwa sababu naelewa kila kitu alichosimulia humu, yeye anamdanganya kijana na kijana anamdanganya yeye, hii ndio tabia ya uongo, kutokea kwa wakati mmoja, kudumu kwa kipindi kifupi na kupotea kuacha ukwel ukuvue nguo mbele ya ulimwengu mzima.
 
Na hivi vijana tunakuwaga na madushe ya motoooo na imara ndo hutasikia wala kuambiwa kitu.
 
Kelsea uje huku love.Kwani nawe nikikuoa utanifanyia hivi?
 
Mzee baba umejua kunichekesha aisee
 
Unamshangaa kwa utaahira wake kisha na wewe unampa ushauri wa kitaahira! Tofauti yenu nini sasa??
 
Hii ni chai, lakini wanawake wajinga na wapumbavu wa aina hii pia wapo wengi tu huku kitaa, wanaotema big G kwa karanga za kuonjeshwa

Chai how??? While mtu anaandika kuomba ushauri??? I just wondered [emoji23]
 
That's my babe talking....💪💪💪
 
Leo Leo nawe HUNA AKIlI KABISA!!!
 
Unataka ushauri gani hapo?
Mkiuawa hooo wanaume makatili and now unachezea sharubu za Simba. Wait and see
 
Pole sana mama wa watoto wanne...nakupa pole ila ndo ya dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…