Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Inasikitisha Sana,
Ndo matokeo ya kutaka wanawake nap wale kwa jasho
 
Lengo nataka tu niwe nae till my last breath

Tatizo uliruka stage ya kuwa na viboyfriend ukarukia ndoa lakini ngoja nikusanue,hyo sentensi uliyoiandika hapo ni kitu ambacho hakiwezekani
 
Stop lust for sex, accept what you have. I can assure you, your lad's love will not be the same once he knows you are a sugar mummy of 4.
You may continue to cheat on your hubby but dont abandon him. It seems prostitution is in your blood but dont divorce him.
 
Kwa Hali hii sioi tn ngoja niwe mpole maana naweza pata kesi isiyo tarajiwa hapa😂😂
 
Sahii kabisa
 
Tuwasiliane dear 0769 977906. achana na hao walamba lips
 
Mwanamke mpumbavu uvunja ndoa yake mwenyewe. Siku zote mnapigiwa kelele hamsikii wanaume wa nje uwapenda wanawake waliolewa kwa lengo la kupata cheap ngono.Wakishaachika na wa nje ukimbia nani abebe mzigo kwako alifata mteremko wa ngono.
Hawaolewagi hili. Na hata uwaambie Mara 1000 wala hawatakuelewa wao wanajiona penzini. Ila Hawa viumbe sijui wakoje Miki katika kuteleza kwangu nilitembeaga na mke WA mtu siku Moja nikamtest vipi muache mumeo tusepe wote eeeh si akaafiki wazo langu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji16] nikasema hapana kwa kweli sitakaa nione na vioo nikamfungia. Imagine mtu Ana watoto 2 hata 10 years hawajafika ila yuko tayari kuwakimbia kisa penzi jipya[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787].
 

Tatizo la ndoa yako lilianzia hapa

Kwa maelezo ya hapa wewe ni kama kiongozi wa familia na umechukua nafasi ya shemeji ya kuwa kichwa

Inaonesha wewe ni provider mkubwa na decision maker mkubwa wa familia

Inaonesha hata shem unasema yuko so royal sababu ya support yako kubwa unayompa ila ungekuwa mother house labda asingekuwa hivyo sababu tabia ya mwanaume au mwanamke halisi unaijua akiwa na fedha.

Inawezekana hata huo uprovider/kuhoga unaufanya kwa kijana nae anaona mseleleko ndo maana anataka kutangaza ndoa mapema.

Wanaume wajifunze kwenyw hili

Be a woman

Let a man be a man na huyo dogo sorry nimemwita dogo sababu ni dogo mpe true colour yako, mpige kizinga za 3m , mwambie una watoto wanne na unandoa akibaki basi rudi hapa.

Mme wako ndo mtu pekee anaweza kukupa furaha na hata kama anamapungufu basi mwelekeze kwa upendo. WATOTO HAWATAKUJA KUKUSAMEHE KAMA UTAWAACHA SABABU YA HICHO KIBENTEN

AT THIS POINT BE LOGICAL AND WEKA EMOTION PEMBENI

KAMA HUTONISIKIA BASI ANGUKA MWENYEWE ILA AKUONEA HURUMA SANA MWANAMKE MWENZANGU.
 
Tumeelewana hapa sasa

Sisi tunahitaji kuongozwa
ANGEKATALIWA KWENDA HUKO KWENYE HIYO PROJECT HIYO NDOA INGEKUWAJE? JE KOSA NI MUME KUMRUHUSU AU MBONA SIJAONA MUME ALIPOKOSEA HADI KUSTAHILI HAYA TUNAYOYASHUHUDIA...I STILL NOT UNDERSTANDING KICHWA KICHWA KICHWA
 
Hivi mwanamke wa hivi kweli anasubiri Nini kufa

I swore she must be in gravel immediately
 
Kwa ulivyojieleza it is obvious you subscribe to tigo, this is what has made you go crazy on your b/friend love. That is what you dub (Good at jigjig)
 
Sijui niseme Nini,
Ila nnachokuomba mtoa mada,
Hisia zisiitawale sana akili yako,

Kumpoteza mume wa watoto kwa ajili ya kijana bachelor Ni wrong move.

Kama anakuridhisha kwny bed,
Nashaur ibaki hivyo hivyo TU, mengine achana nayo
hajifunzi kwako kuu mama j hawezi fanya utelekeze familiaa... genye zibaki kuwa genye
 
Ila huyu mwanaume naye taahira yaani mwanamke mwenye watoto zaidi ya mmoja na anaishi na mumewe is very simple kimfahamu

Anashindwaje daah wanaume tunafeli wapi
 
Aaaahkinipenda mama inatoshaa, Aaaahkinipenda baba inatoshaa! Kuna watu wajinga sana dunia hii khaa
 
ANGEKATALIWA KWENDA HUKO KWENYE HIYO PROJECT HIYO NDOA INGEKUWAJE? JE KOSA NI MUME KUMRUHUSU AU MBONA SIJAONA MUME ALIPOKOSEA HADI KUSTAHILI HAYA TUNAYOYASHUHUDIA...I STILL NOT UNDERSTANDING KICHWA KICHWA KICHWA
Soma nyuzi zake za nyuma utagundua mdada ni mpambaanji kuliko mwanaume na ndo maana anaanza na kugongewa nje.

Seems jamaa hajasimama vzr kwa nafasi yake huo ndo ukweli mchungu.

Sisi wanawake ni wasaidizi hatupaswi kuwa main na ikiwa main basi iwe kwa muda mfupi tu na mwanaume ukisaidiwa basi pambana usimame kuondoa dependency

Dada kampambania sana mumewe kwa kumpa mitaji mara nyingi na kumsimamisha kibiashara ila sababu ni nature basi natural love imeondoka zimeanza hizi drama.
 
We nae bure kabisa eti hakuna Mwanamke asiyeliwa umewachunguza wangapi kumbuka kwenye wabaya na Wema wapo.
 

..wewe unanitafutia kesi tu.

..sijawahi kutoa ushauri kama huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…