Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Dear to be honest nimeolewa baada ya miaka miwili nikaacha kazi, why?. Sababu nilibeba mimba wakati miaka mitatu ya mkataba unavyotaka haikuwa imeisha so nikawa tayari mjamzito Tena, so boss akawa mkali analaumu Mimi kuzaa karibu so nikaamua kuacha kazi mwenyewe, since hapo sikuwahi kuajiriwa Tena zaidi Nilikuwa home nalea watoto maana nilizaa karibu karibu na tulitaka pia tumalize kuzaa mapema then now tu concentrate kwenye kulea, mume alinifungulia biashara but kwa sababu ya Covid Mambo yakakwama, ndo hapo Sasa ikabidi nichukue veti vyangu nakuaupdate my CV na kuanza ku apply, mume Ana provide kila kitu he has a good job only that kipindi Cha Covid kipato chake kilipungua kutokana na nature ya kazi yake inategemea wazungu Sana .Kijana simuhongi just mapenzi tu, na pia Mimi sio mtu wa kumuombaomba pesa since I know he is young na anatakiwa afocus kwenye future yake dear. Hela yake nimekula Hadi now sio kiivyo. Dear I am a very humble wife Basi Tu, sijachukua kabisa nafasi ya kichwa Cha mwanaume katika ndoa yetu kabisa
 
Uzi mwingine umeanzishwa na mwanamke malaya huku. Nikwambie wewe mama kwamba mwanamke hajaumbiwa kupenda mwanaume zaidi ya mmoja. Very soon heshima kwa mume wako utaiondoa kabisa utaishi kwake kama kikosi cha ugaidi nchini au cha uasi.
Kitakachofata ni kuvunjika ndoa ndo uone kijana alivyowapanga wamama kama wewe zaidi ya ishirini na hana nia ya kuishi na nyie. Koment hii nimeiandika nikiwa mwanaume kamili ambaye najua michezo tunayowachezea wamama wenye nyege kama wewe
 
Hongera sana dada

Sijasema mkorifi mama, be head sio lazima uwe mkorofi unaweza kuwa very humble wife lakini wakati huo huo wewe ni husband.

Nilichosema ni kufanya majukumu ambayo sio yako kiasili unakuwa umechukua nature ya kiume. Unapaswa kuwa msaidizi by nature na sio main

Endelea kumboresha shem awe main ili ubaki nafasi yako na huyo dogo mpe fact atakimbia mwenyewe baada ya kujua truth.

Jitahidi uachane nae
 
Wote waliojaa kwa Mwamposa wamekimbiwa wamekimbiwa na waume zao baada ya kulitafuta wakalipata.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe kiruuuuh... Ngoja nmtafutie dawa za kukuza na kunenepesha
🤣🤣Amesema anajiamini nacho maana hadi threesome Anapiga ila kasema akimkula manzi sikumoja bas huwa ndo harudi Tena🤣🤣Eti wanakimbia🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌
 
28 kwa 32 unajiita mzee ....tulia ulee familia yako wakati unaendelea kuwaza hilo uwe makini huyu kijana mwezako asije akakudanganya akala jicholako
 
mbona hii comment inaonesha kama una akili timamu hivii??? nini shida dada kukojozwa tu ndo kunakufanya upagawe kiasi hiki??
 
Vunja tu ndoa yako then utakapojikuta mmepangwa 20 usije lilia unataka urudi. Utaibomoa heshima yako kwa mume, ndugu na hata watoto wako watakudharau. Endeza penzi nyege zikiisha ndo utajua
 
Nakukunda UPO NYONYO............NIAMBIE KOSA LA MUME NI LIPI HUYU MDADA KUMLIPA HIKI ANACHOTAKA KUMFANYIA? WITH ALL DEVOTIONS ZA MUMEWE KWA FAMILIA YAKE
 
mbona hii comment inaonesha kama una akili timamu hivii??? nini shida dada kukojozwa tu ndo kunakufanya upagawe kiasi hiki??
Kibenten kitakuwa kwenye timu yako ya kula.kimasikhara kwa ajili ya voicenote tu.
 
chukua ushauri wangu huta juta hata kidogo huyo kijana mwambie ukweli na usimfiche maana kwetu sisi wanaume huwa tuna penda mtu ambaee yuko muwazi na muombe awepo kwenye maisha yako ila tu swala la ndoa achana nalo na mpe uhuru wa kuwa na mtu najua atakata ila itafanya kuto kumpa nafasi ya kukuacha na hakikisha una muweka karibu mpe hiyoo punani(K) kila mda.
na mwambie unampenda kuliko VITA YA URUSI.
 
moyo ni kitu cha kijinga sana nakumbuka niliwahii kupenda mke wa mtu nikawa sielewi nikataka kuishi nae japo kuwa ana watoto wa 2, nikaja kuwaza nikachukua maamuzi ya kwenda mbali kabisa ndo ilikuwa pona yangu
 
Pia kijana wa watu atajuta Sana akijajua.

Cha muhimu amuambie baba wa Mtoto bado yupo active na hivyo ndoa haitawezekana.

Kwa Umri wako na mumeo bado watoto ni wadogo Sana. Kwa kuwa umeanza kutafuta maradhi nje. Na utakuja uwaachw mapema.

Ulichokuwa umemiss ni sex( mbo.oo ) mbalimbali. Nina mifano ya wanawake niliozalisha hawafanyi sex nje. Hawana tamaa Mmoja alifanya sex nje nanakapotea.

Pole pole pole yake huyu mwanamke na Kwa kweli Kwa miaka ya Sasa Malaya ni wengi Sana.
 
😂
 
[emoji1787][emoji1787]Amesema anajiamini nacho maana hadi threesome Anapiga ila kasema akimkula manzi sikumoja bas huwa ndo harudi Tena[emoji1787][emoji1787]Eti wanakimbia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Huyu basi atakua ashaugua hata gono.... ngoja nmtafutie vumbi la Kongo la kimasai...
Maan atakuja aaibike siku moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…