Rafiki yangu ana miaka 30 tyri ana watoto wanne na apo Hana Mme na ana kazi nzur TuRafiki yangu ana 36 ana watoto sita
Kama aliolewa na 24 je
Vodafasta inaitwa hyo
Uliwahi ona wapi Mwanaume anaoa mama wa watoto wanne na yeye hana hata mmoja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huyu mwanamke akiacha kutumia moyo akili zitamrudia alafu atajiona mjinga sanaaTell him the trust aaamue mwenyewe...akupende akiwa anajua ukweli...u cant hide the truth from him forever. Siku akijua huko mbele ulimdanganya you will still loose him, so u better do it know...kuhusu kumpenda hio ni tabia ya penzi jipya subiri mkae miaka mchokane ndo utajua km mnampenda kweli ama lah, probably after a yr utaikumbuka familia yako na kujutia maamuzi yako.
Yaani kila nikianza kupata fikra za kutaka kuoa, nakuta kisa hapa JF ambacho kinanikumbusha acah ufala kijana hawa wanawake ni wakuwagegeda tuu sio kuoa na kuweka ndani.Mbona nilishasema elimu, pesa na ajira zikiwa kwa mwanamke heshimj hukosa nafasi. Hebu onb eti anaona ndoa yake ni bei rahisi kuliko kijana.
You can imagine jinsi anamdharau mumewe na yuko tayari kumuacha na watoto sekunde yeyote kwa ajili ya mwanaume mwingine.
Elimu na pesa zikiwa kwa mwanamke, heshima haina nafasi
Ili mahusiano yawe imara mwanaume lazima awe juu ya mwanamke katika kila nyanja, kiumri, kiuchumi, kielimu nk. Hawa wanawake walikusudiwa na Mungu wawe chini tena chini kabisa ndio wanakua na heshima kwa mume na atomatic mume atampenda mkewe na wataishi kwa furaha na amani TELE. Hakuna watu...www.jamiiforums.com
Elimu na pesa zikiwa kwa mwanamke, heshima haina nafasi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Walahii... Mtu afikiria kukimbia wane wanne khaa hizi genyee zikizidii ni balaaMnapata raha gani kuja kuandika story za kutunga humu. This is a typical lie. Uongo kabisa. Hakuna reality katika hii story em fikiri upya andika tena.
Msipoteze muda na ukute ni dume limekaa likaandika hii takataka...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]That how the game goes Beautiful, Huwa tupo hivo mwanzoni "like Damn" He's
♡Very loving
♤Ooh soo caring
♤Heavenly sent
♡No one be like you
♤Mtu na Nusu "my foot"
At last tuna madhaifu kibao ndani yetu siku nkiyaonesha utajikuta unakuwa Mental Sissy...
Wanawake wote ndio wako hivyo dude [emoji41]Wewe ni mpuuzi, hakika mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.