Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dear nimewaza kumuambia ukweli but wasiwasi wangu Ni kwamba atanikimbia na I am not ready kabisa dear.i wish like I can read his mind vile atalipokea kabla ya kumwambia. Maana I fear loosing him dearMwambie tu ukweli kuwa umeolewa na una watoto 4 ulimdanganya mwanzo, atakuona mkweli na kuamua kuendelea na mchakato wa ndoa.
Ukiona haitoshi mkutanishe na mumeo ili wafanye maamuzi ambayo hayatakugharimu kama ulivyoomba.
Ukimchekea shetani nyumbani kwako atakufedhehesha ukweni.
Lakini ndo uhalisia wa wapumbavu wengi, unakuta janamke linamleta hadi mwanaume mwingine kwenye kitanda chake cha ndoa. Then wakiachika kwa upumbavu wao uenda kumsumbua Mwamposa awape mafuta ya kumrejesha mume.Hii ni chai,lakini wanawake wajinga na wapumbavu wa aina hii pia wapo wengi tu huku kitaa,wanaotema big G kwa karanga za kuonjeshwa
Yaani wapo hivyo kaka ndio Tabia zao na Hawawezi kuacha kiuhalisia mwanamke anapenda ku+on&wa kupita maelezo, na wakikutana asilimia 80 ya maongezi Yao ni ngono tu na kuwa sifia ma bwana zao wanao wazagamua vizuri, yaani mwanamke akiwa na genye Huwa ana changanyikiwa ana kuwa kama mwehu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nawaona wanavyofanywa hovyo hapa makao makuu.
But dear don't you think like he might run away from me after telling him the truth dear?[emoji26]. Is it not better to loose him later than now?.Tell him the trust aaamue mwenyewe...akupende akiwa anajua ukweli...u cant hide the truth from him forever. Siku akijua huko mbele ulimdanganya you will still loose him, so u better do it know...kuhusu kumpenda hio ni tabia ya penzi jipya subiri mkae miaka mchokane ndo utajua km mnampenda kweli ama lah, probably after a yr utaikumbuka familia yako na kujutia maamuzi yako.
Umeongea bonge la point first love inawazuzua watu wengi sanaHakuna mapenzi bali tamaa ya ngono hapo hio inaitwa first love ndio uwafanya wengi kukosea kuoa au kuolewa kwa kuvutwa na msukumo wa ngono. Ukiisha ingia tu kwenye ndoa inaisha utatamani mwingine.
Nimewaza hii ndio like tuwe tu sex buddies. But but I just can't imagine him marrying another woman baadaye huyu[emoji24].Kama hajui the whole truth...itakula kwako. Kwa sababu he's in love with a fake version(jamaa kwanza katuangusha sisi chama cha mihogo,hii maisha haitakagi feelings) Wewe ushafunguka mtu nne, na bado unajichocha story ya love. Wake up!
Sana sana, pigwa miti kaaaa yote, have fun...but delay izo plans zake....dont meet his parents...muachie uyo mpuzi space ya kupanga future yake somewhere else. Ila kwa sasa....pigwa miti mpaka uridhike then leave him alone. Think about your kids big siz.
Ana hisia nae hii ndo point wanawake mnaojitetea nayo kila siku kwamba mnapenda Wanaume wenye hisia naoAchana na mumeo olewa na kijana mpuuzi mmoja weh..huna akili nakusikitikia Sana.
Kijana is confusing me dear[emoji26]. Nimewaza hili Sana but nasikia ndani sauti inaniambia maisha Ni Sasa ,ya kesho Wala sijali.Hahaha ndo wanawake walivyo we fanya kile unahisi ni sahihi kwako, watoto nne halafu bado kwenye maisha hujui unataka nini kisa tu ny*ge zako, kuna siku utajua hujui halafu utakuwa umechelewa sana
Point ya kipuuzi kwa wanawake wapuuzi ..aachane na mumewe aanzishe na huyo tall smart guy..yajayo yamfurahisheAna hisia nae hii ndo point wanawake mnaojitetea nayo kila siku kwamba mnapenda Wanaume wenye hisia nao
Dear hii nimewaza Sana. Ila Sasa moyo wangu inaniambia niishi sasa[emoji26]That how the game goes Beautiful, Huwa tupo hivo mwanzoni "like Damn" He's
♡Very loving
♤Ooh soo caring
♤Heavenly sent
♡No one be like you
♤Mtu na Nusu "my foot"
At last tuna madhaifu kibao ndani yetu siku nkiyaonesha utajikuta unakuwa Mental Sissy...
Uo ni uchoyo, lakini its a female thing kuwa possesive so sikulaumu...kama ka kuaccept that una mtoto...atleast return the favour. Nyandua uyo kijana but let him be maanake lazma atakuja kujua... na reaction yake atakuchukia vibaya. kama ni zuzu wa mbususu na inavyoelekea ashapoteza fahamu za kiume...basi...hez your zombie. Ila usiwe hivyoNimewaza hii ndio like tuwe tu sex buddies. But but I just can't imagine him marrying another woman baadaye huyu[emoji24].
Hii issue kama ni serious Dada you need to repent kwa kumaanisha haswa na hakikisha unaenda kumuomba mumeo msamaha.Maana kurepent Kwa Mungu pekee yake haitoishi..Na nikuhaidi unaweza fanya hivi na bado ukashindwa kuhandle the situation maana bado utahitaji msaada.Habarini wanajamvi . Natumaini mko poa and mnaenjoy this Long weekend.
Naomba kushare na nyingi story yangu then mtanishauri Nini Cha kufanya.
My ex wife ana story kama yako. Alifanya haya, ila alikutana na mme mwenye akili nyingi kumzidi yeye (mimi mwenyewe). Niligundua katika kipindi flan hivi hakuwa na interest na mimi, it was like kulikuwa na kitu nje ya ndoa kinafanyika na concentration na matumaini yake viko huko. Nilimdukua kwa muda wa miezi 6 and it was over.nimekolea, I just can't imagine my life without Kijana. I feel him so deep jamani.![]()