Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Nakupa pole pole, pole, pole, pole, pole, pole na wengine pia watakuja kukuongezea pole
ila pole tu
Namimi niongezee tu kwakwel pole zake zimuendee nyingi watu hatujui maana ya mume nini asee kwamba fangu amekuwa na amebalehe namahusiano yote aliyowahi kuingia ama kutembea kwakehakuwahi kuona mwanaume mzuri saa zingne inatakiwa tukuwe kimwili kiakili na kihisia (many many sory goes to her
 
Habarini wanajamvi . Natumaini mko poa and mnaenjoy this Long weekend.

Naomba kushare na nyingi story yangu then mtanishauri Nini Cha kufanya.
Lazima ujue wazi kuwa mapenzi yanatokana na fikraaa tuu so stop thinking about him angalia sana familia yako na mumeo ndiyo wako wa maisha keep it up huyo kijana asikuharibie future of your family
 
Habarini wanajamvi . Natumaini mko poa and mnaenjoy this Long weekend.

Naomba kushare na nyingi story yangu then mtanishauri Nini Cha kufanya.
Wanawake ni viumbe anonymously, hawaeleweki wanachotaka exactly? Hakuna Bigwa wa research ambaye aliweza kung'amua hili.... whats so important; TUISHI NAO KWA AKILI
 
Hivi gunia la mkaa ni shilingi ngapi saizi wakuu anyway full magazine Ina 30 bullets so my condolences in advance kwako mkuu
 
Mwambie ukweli wote huyo kijana, the truth will set you free.
The time atamwambia he will loose interrest na atafanya chunguzi na kujua kuwa ameolewa na atamumwaga tu, sisi wanaume ni wavumilivu wa uongo mmoja tu
 
KwakweLi anaenda kuangamiza familia yake uyu dada
 
Habarini wanajamvi . Natumaini mko poa and mnaenjoy this Long weekend.

Naomba kushare na nyingi story yangu then mtanishauri Nini Cha kufanya.
Hivi unaikumbuka post yako ya tarehe 19/10/2015????

Kipindi hicho uliwananga vibaya mno wanawake wenzio wenye tabia kama yako hii mpya.... Si bure umelogwa
Nikisoma maneno yako haya kwenye post ile napata kichefuchefu,

"Sasa wanawake na sisi tulivyogo na akili sijui za wapi ama sijui ni kulogwa,tukiambiwa hivi tunalendemkaaa kama mlenda,kichwa hichoooo kinatuvimba na kuanza kujisifu et hahaaa kumbe bi shost hana lolote? (kumbe ukweli mke wake humfikii hata nusu lijamaa linataka tu likuchafue asepe zake),basi ndo siku hiyo hata kulala usingizi unakata kisa tu kusifiwa na Lijamaa ambalo ni anataka tu ale then basi.

Basi akikuambia tukutane mwanamke huyooo unaenda.Hivi jamani kuambiwa tu hivi ndo tujitoe ufahamu hadi kushindwa kujiuliza tu maswali mawili matatu kwamba hivi mke wake angekuwa hamridhishi angemuoa? Na kama anasema hajawahi pata mtamu kama mimi kama ningekuwa mtamu angekubali tuachane? si angenioa"

Acha kutema big G kwa vijikaranga vya kuonjeshwa ww!!!!
 
Mchaichai
 
Satan is always sweet when it comes to lay traps on a fool. But after a while you come grasp his true colors.

SO BABY, MOVE ON WITH THE PROJECT WE'LL MEET DOWN THE RIVER πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kweli dear nimewaza Ni kichaa Cha Penzi. But there is this inner voice keep saying I real don't care what tommorow may bring life is now.
Wwe ndiyo unawajuwa vizuri Mume wako na Mchepuko wako,kwa hiyo wwe ndiyo fanya maamuzi yanayokupendeza,sisi utatuchumia zambi za bure tu kwa kutoa ushauri kwa kusikiliza pande moja tu ya kwako!
 
Huyo kaka siku akijua ni mke wa mtu na watoto 4 juu lazima upigwe chini, mumeo pia akijua unacheat litakukuta jambo mama alafu utakua mgeni wa nani? Kaa jitafakari.
 
Mtoa mada ni kulikuita stupid woman sitakosea! Nina uhakika siku huyo kijana atakapojua ukweli wako hutabaki salama! Na pia mume wako akijua unamcheat hutabaki salama!
njia ya muongo ni fupi yaani muda si mrefu kila kitu kitakuwa hadharani ! Nakuona ukiwa single mother mpya!! Kweli mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe!! Hakuna mwanaume anaeweza kuoa mke mwenye watoto 4!!
 
Ama kweli hii ni JF[emoji23][emoji23], ww jamaa si kuna uzi wako unasema kuna demu anakupenda ila ww humpendi na yuko tayari kukuhudumia kwa kila kitu maana hauna mishe ya maana mjini
[emoji23][emoji23] JF ukiijua vzur hutapata tabu kabisa.
 
Yaani voice note tu ilibadili kila kitu. πŸ˜‚ wanawake nyie.

Halafu unaenjoy sex ni kwa kuwa umempenda kwa dhati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…