Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Duuh embu elezea kidogo zaidi mkuu 🤔
 
Hakuna mwenye ujanja kumzidi huyu.
wapo wengi kulingana na ulivyosema kama kwa mara yakwanza tu unatoka kwa mmeo unaenda mbali kufanya kazi na hapo hapo unampenda mtu ambae hata hujawah muona huon kuwa pengne pia utaendelea tu kuliwa
 
No way wewe ni malay* Sema tu umechelew kuuanza uo umalay* umeuanza ukiwa tayar umeshaolewa
 
Nakujua sana
 
Haramu zote ni tamu kuliko halali, Kilichokupeleka kwa huyo mwamba ni hisia za tamaa ya penzi la wizi kama unataka kuamini siku ukimhalalisha ukienda mkoa mwingine mwana akabaki mbali pia kuna uwezekano wa kuja hapa jukwaani ukiomba ushauriwe tena maana utakutana na wakunaji wengine wezi na utamsaliti mwana na kuwapa fursa masela wengine na utainjoi sana tu.
 
Sijafanikiwaga kusoma comments zote ,but ninachojiuliza hadi leo ni hasira zilikuwa za nini my good people [emoji16][emoji16]. Mko tooo hard like too hard.
Siyo hasira,watu wanamuonea huruma Mume wako baada ya kukosea kuchagua Mke,kumbe Mke mwenyewe kimeo!!
 
Weka picha za katikati ya mapaja ili tuone kama una alama na michirizi kati kati ya mapaja na mapaja mtawalia au lah maana kwangu Mimi mwanamke kama ana alama/ukurutu kati kati ya mapaja na michirizi kwenye mapaja hata akipigwa na kijiji kizima wala hainishitui
 
Siyo hasira,watu wanamuonea huruma Mume wako baada ya kukosea kuchagua Mke,kumbe Mke mwenyewe kimeo!!
Lakini wanaume hawaonewagi huruma, Mungu hakuwaumba hivyo.
 
Sio kweli
 
Lakini wanaume hawaonewagi huruma, Mungu hakuwaumba hivyo.
But umeandika mumeo ni best husband vipi huyu dogo utamuitaje, au umetumia vigezo gani mumeo kuwa "best husband " halafu unataka kumkataa?
 
wapo wengi kulingana na ulivyosema kama kwa mara yakwanza tu unatoka kwa mmeo unaenda mbali kufanya kazi na hapo hapo unampenda mtu ambae hata hujawah muona huon kuwa pengne pia utaendelea tu kuliwa
Usikariri
 
Sio kweli
Kama huniamini kama ilivyo kwa wanawake warembo huzaliwa kila kukicha vivyo hivyo kwa sisi wakunaji tunazaliwa wazuri zaidi. Keep my post, mpe nafasi utakuja kuniambia, if sio black utapigwa na mzungu na utakuja kusema nilitamani kuonja ladha ya mzungu au mwarabu.
 
Usikariri maisha bhana.
 
Kama wote[emoji12]
Hahahaha, nyie wanawake hamna dogo kabisa! Kuna dada mmoja nilifahamiana nae mwaka jana October taasisi moja kubwa tu ya serikali alikuja kama mwajiriwa mpya, tukaanza mahusiano na hivi navyoongea yamenoga kweli kweli ukimkuna kisawasawa utasikia najuta kuchelewa kukufahamu "black walker". Na huwa anaapa kutoniacha kabisa. Kuna mwamba wa huko mkoani kazaa nae mtoto mmoja na ndo wana malengo ya kuoana nae, kila siku nakula mbuny* mwenzake akipiga simu utasikia samahani baby ukae kimya niongee na jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…