Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Nyie mnaomjudge huyu dada hamjawahi kukutana na michepuko inayipiga show show....unakutana na mwanaume Yani akipanda hashuki, anadeki Hadi kunakauka, katerero Kwa sana, mguu wa shingo mguu wa roho[emoji1732]....afu nyumbani mume Kazi kufuga kitambi tu, show mbovu.

In fact napitia the same situation na mleta mada....naendelea kusoma comments.[emoji1787]
Kwamba unamuunga mkono!!!!
Aiseee dunia imeisha SASA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huu uzi umeshika kasi, wengine wanacomment zaid ya mara tano jinsi gani unaibua hisia,

Uzinzi unapigiwa sana chepuo kwa jinsi zote mbili, wapo wanaohisi kwamba hiyo ni hulka yao ya tamaa na hivyo wanahaki ya kuwa polygamous, lkn wanasahau kwamba tamaa kaumbiwa mwanadamu.

Huenda hata zamani wanawake waliendelea kuchepuka lakn ikabaki siri, kwakua sisi hatunaga courage ya kukiri wazi wazi mbele ya jamii, mbali na kwa mashoga zetu.

Maisha ni mafupi na furaha yako haitengenezwi na mwanadamu, usiirudie ndoa yako kwasababu ya kumhurumia mumeo ila angalia faida utakayoipata kwasababu hata yy anayomengi anayoyafanya sirini ambayo ukiyajua hata lako linaweza kuwa dogo.

Ila fikiria, ili akuoe inabidi ujitenge mbali na wanao ili aendelee kufahamu kuwa unamtoto mmoja.

Pili, ukimuacha mumeo utaitambulisha vipi familia yako juu ya huyu mume mpya, hapo jawabu ni kuwa ni lazima upewe taraka ukitalikiwa inamaana watoto utaenda ishi nao kwa mumeo au utawaacha kwa baba yao?

Vipi huyo bwana Mpya akijua umemdanganya?

Vipi wanao, umejipanga kuwalea kwa mfumo upi? Utawaficha au kuwaweka wazi? Utawalea ukiwa mbali au moja kwa moja?

Baada ya kupata majawabu, olewa sasa,
 
Mimi nashangaa watu wanavyomtukana mtoa mada kwa sababu kachagua kinachompa furaha.
Hiki ni kitu cha kawaida na hakitokei kwa wanawake tu hata wanaume wanapenda kujipa furaha yao na kujiridhisha kwamba hawawezi kuridhika na mtu mmoja.

Ila mtoa post anapoielezea furaha yake wanamponda, badala ya kumshauri, nilitegemea kupata mbinu za kivita kutoka kwao ,lkn naona mtoa Post anashambuliwa .

Kwa Post hii, wenye wake zao roho zimauma humu.
 
Hiki ni kitu cha kawaida na hakitokei kwa wanawake tu hata wanaume wanapenda kujipa furaha yao na kujiridhisha kwamba hawawezi kuridhika na mtu mmoja.

Ila mtoa post anapoielezea furaha yake wanamponda, badala ya kumshauri, nilitegemea kupata mbinu za kivita kutoka kwao ,lkn naona mtoa Post anashambuliwa .

Kwa Post hii, wenye wake zao roho zimauma humu.
Hivi mtu una watoto wanne umezaa na mumeo unaanza kufikiria kuhusu furaha yakoo ya kuridhishwa KINGONOO???? mume wake hamtesi wala kumnyanyasa anataka FURAHA GANI??

Sema wanawake hamjuagi mnataka ninii huwaga akili zenu zinawaza muda huuu ukiwa unakojozwaaa hufikirii nyumbani una watoto wanahitaji malezi ya mama...
 
Mleta mada naamini kama sio chai basi umeliwa jicho ndio linalo kuchanganya!
 
Hivi mtu una watoto wanne umezaa na mumeo unaanza kufikiria kuhusu furaha yakoo ya kuridhishwa KINGONOO???? mume wake hamtesi wala kumnyanyasa anataka FURAHA GANI??

Sema wanawake hamjuagi mnataka ninii huwaga akili zenu zinawaza muda huuu ukiwa unakojozwaaa hufikirii nyumbani una watoto wanahitaji malezi ya mama.
Sidhan km watoto ni justification ya mtu kutojali furaha yake, yeye ameelezea furaha yake.

Watoto wanalelewa na wataendelea kupata malezi ya wazazi kwa mfumo watakaokubaliana.

Mtu anapopata wazo la kuiacha ndoa yake, heri aiache mapema kuliko kujilazimisha hali inayoweza kuleta madhara mbeleni, anaweza kumuona mumewe Kama kikwazo cha yeye kuenjoy, sasa ukishakua kikwazo kwa mwenzako hiyo si ndoa kwasababu ndoa ni makubaliano ya watu wawili, anapoyavunja mmoja hiyo si ndoa
 
Huu ndio ushauri mzuri, lazima afate anachokipenda
The only problem huko anakotaka kwenda hatujui kama huyu mtu atampokea akijua ukweli wote kwa sasa anajua anamtoto mmoja na yuko single.
1. Akijua ana watoto wa 4 atamkubali?
2. Akijua amevunja ndoa yake halali hatohofia na yeye kuachwa mataa?
3. Hao watoto watalelewa wapi?

Vyakuiba siku zote huwa vitamu sababu pale akili inaenda ikiwaza moja tu, wakianza kuwaza ada, kodi na matunzo huo utamu utapungua mkuu.
 
Sidhan km watoto ni justification ya mtu kutojali furaha yake, yeye ameelezea furaha yake.

Watoto wanalelewa na wataendelea kupata malezi ya wazazi kwa mfumo watakaokubaliana.

Mtu anapopata wazo la kuiacha ndoa yake, heri aiache mapema kuliko kujilazimisha hali inayoweza kuleta madhara mbeleni, anaweza kumuona mumewe Kama kikwazo cha yeye kuenjoy, sasa ukishakua kikwazo kwa mwenzako hiyo si ndoa kwasababu ndoa ni makubaliano ya watu wawili, anapoyavunja mmoja hiyo si ndoa
Yani Mama aiche ndoa yake ya watoto wanne????? Sababu ya kijamaa alichokutanaa nacho eneo la kazii... kama wew ni mwanamke upo sahihi sana ila kama ni mwanaume jitafakari akili za kikee hizoo kama unafikiri unaweza amka tu siku ukatelekeza familia ya watoto wanne kisa furaha yako na kimwanaume flani una Mtatizo ya Akilii...
 
Hawa ndio kila siku wanalilia tuwe na mke mmoja.!!
Hell, NOOO!!
 
Ashki majnuni zinakusumbua tu.

Kwa hiyo unataka kuvunja ndoa kwa mikono yako, sio!
 
Mtaka yote kwa pupa hukosa yote , tafakari vzr usije ukarudi hapa unali Lia kwa kukosa mume na kijana
 
Kupenda hakuondoi fact ya kwamba binadamu sio wakamilifu na ukweli alishasema rais mstaaf. Vijana wanapataka wazee wanapataka.
Unaweza mpenda mwanamke lakini tambua kuwa anaweza chepuka, huo ni uninadamu. Sie sio malaika.
Mbona pande zote zinachepuka? Sio upande 1 tuu
 
Mbona pande zote zinachepuka? Sio upande 1 tuu
Ndio pande zote zachepuka ndio raha ya dunia...yaani full kushare.
Ebu imagine dunia bili kushare mbususu na de libolo sii ingekuwa boring sana
 
Habarini wanajamvi . Natumaini mko poa and mnaenjoy this Long weekend.

Naomba kushare na nyingi story yangu then mtanishauri Nini Cha kufanya.

Mimi Ni mwanamke Nina miaka 32 Nimeolewa ndoa ya kanisani na tumebahatika kupata watoto wanne kwenye ndoa yetu hii takatifu. Kiukweli so far my marriage is good sisemi kwamba hatugombani no sometimes tunapishana tunaombana msamaha yanaisha, Inshort sijawahi kujuta kuolewa na mume wangu, he is a caring man, anapenda Sana watoto wake, for sure he is the best husband and the best daddy to our four beautiful children.

Mwaka Jana nilipata kazi somewhere mbali kidogo so ikanilazimu kuacha familia na kwenda kufanya kazi, Mume wangu alikubali Mimi kwenda kufanya kazi mbali ukizingatia pia hatukuwa vizuri kiuchumi maana Covid 19 iliyumbisha kidogo uchumi wetu, so I came this side kufanya kazi.

Ukweli sikuwahi kumcheat mume wangu tangu anioe na sikuwahi kuwaza kama kuna Siku itatokea maana ukweli ananitreat like a queen, baada ya kufika huku kazini, kweli Nilikuwa Ni mtu wa kuchapa kazi na kurudi home kusettle na kuwaza about my family and my personal issues.

Sikupata kuwaza like sex nimtafute mtu noo, tho as a woman kule kutongozwa kupo but sikuwahi kuipea time kabisa kabisa infact nilikuwa naona ni ujinga Sana kucheat na nimeolewa na my husband is awesome. Not uqntil this day hapa kazini Kuna project tulikuwa tunafanya so tukawa connected na this firm ambayo Sasa ndo hapa nilibadilika.

Katika hii project niliunganishwa na Kijana (28 years) ambaye ndo tutafanya nae hiyo project pamoja. Kweli at the beginning it was a normal talk about the project na sikuwa like kufeel chochote Wala kuwaza chochote out of work. Hadi hii Siku moja ambayo I asked him something about the project hakujibu kwa message badala akatuma Voice note ooh my God hiii voice note ndo ilinimaliza mimi, the man was smart( I like men with brain), voice yake nzuri.

His voice note turned me on kwa kweli nikaanza kufall in love with him from that day, hatukuwahi kuonana before but Ile voice note ilinipa hamu ya kumuona nakuwish awe mtu wangu wa karibu. From that day nikaanza like kumtumia tu message ambazo sio za kazi, like Hi, how was your night blah blah, long story short tukawa wapenzi na hatukuwahi kuonana live[emoji23][emoji23].

For sure mapenzi yalikuwa motomoto Mpaka this day tukaja kuonana and wow I felt sweet seeing this handsome man smelling like a snack[emoji39], amepanda hewani, smart one, kweli moyo ulikuwa unanienda mbio na kujiona wa Bahati Sana katika hii dunia, the date went well and tulifurahi kuonana for the first time[emoji7], hapa ndipo mapenzi yetu yalizidi kuwa motomoto like like like heaven...

He told me his background and his future plans, but ukweli Mimi sikuwa muwazi kwake maana Kwanza Ile tumeenda kuonana for the first time nilivua Pete na sikuwahi muambia nimeolewa na Nina watoto all this long. Nilikuwa Namuambia I am single.

Now mahali ambapo Sasa ndugu zangu naomba mnishauri kwa hekima zenu ni hivi Kijana amenikolea mwenzenu, yaani he is deep in me, sometimes hata napitiliza vituo kwa sababu mawazo yangu yako kwake, sometimes I just smile when I think of him, Juzi namuita boss wangu jina la kijana and I was like God!. I am drunk in Love with Kijana Hadi najuta why sikumjua mapema, He is great kwenye sex, sijawahi enjoy sex like the way I enjoy with him jamani, His kiss is heaven, in short he is a Pro[emoji7].I am confused ndugu zangu.

Sasa Kijana anataka tufanye mchakato anioe and he is very serious, but Sasa hajui nimeshaolewaga na Nina watoto wanne, nilimuambia tu Nina mtoto mmoja na amesema hakuna shida kabisa yeye amenipenda na haoni shida kunioa hata Kama Nina mtoto.

Jamani nawaza kumkubalia anioe then tutajua mbele kwa mbele since I love him so much na I really don't want to loose him, sometimes nawaza ama niombe talaka niwe huru kuolewa na Kijana ,Saa zingine nawaza au tu nimuambie ukweli naona atanikimbia. Saa zingine nawaza au nimzalie tu mtoto nibaki na ndoa yangu? Lengo nataka tu niwe nae till my last breath, I know he is young na ukweli siko kumchuna ama kumuharibia maisha, I love him and kwelikweli I don't want to loose him .

Sometimes nawaza naona gharama ya kupoteza ndoa yangu takatifu ni rahisi Sana kuliko gharama ya kumpoteza huyu Kijana. Jana tulikuwa wote na Kijana akaniambia anataka kunipeleka kwa wazazi wake so nipange Siku tuende, jamani nihisi kupiga kelele Mimi jamani kwamba napoteza hii golden chance hivihivi jamani[emoji24][emoji24].

Nishaurini ndugu zangu nafanyeje wapendwa?, the best way ambayo nitabaki na Kijana pasipo kuathiri pande zote mbili au hata upande mmoja ukiathirika but Kijana awepo. I love him so much na Mungu shahidi, sijawahi penda hivi,. .... What can I do ndugu zangu?

Kijana anajua nimemzidi umri but Hana shida na hili, anajua Nina mtoto Ila Sasa anajua Nina mmoja na wakati ukweli Nina wanne, anajua Niko single wakati ukweli Nina ndoa ya kanisani . Jamani msinitukane please nishaurini maana Nimezama penzini sisikii Wala Nini nimekolea, I just can't imagine my life without Kijana[emoji24]. I feel him so deep jamani.

Asanteni
Tulia na mume wako. Mtengeneze mume wako awe kama huyo kijana
 
Yani Mama aiche ndoa yake ya watoto wanne????? Sababu ya kijamaa alichokutanaa nacho eneo la kazii... kama wew ni mwanamke upo sahihi sana ila kama ni mwanaume jitafakari akili za kikee hizoo kama unafikiri unaweza amka tu siku ukatelekeza familia ya watoto wanne kisa furaha yako na kimwanaume flani una Mtatizo ya Akilii...
Hivi si tumekubaliana mwanamke mchepukaji ni wa kufukuzwa humu ndani, sasa kwann yy bado umnamtetea aendelee kubaki 😂😂
 
Back
Top Bottom