Mausingizii
Member
- Jul 14, 2022
- 90
- 74
All
Ova
In all mapenzi hayashauriki, kila mtu aangalie benifit anayopata na furaha yakeYani Mama aiche ndoa yake ya watoto wanne????? Sababu ya kijamaa alichokutanaa nacho eneo la kazii... kama wew ni mwanamke upo sahihi sana ila kama ni mwanaume jitafakari akili za kikee hizoo kama unafikiri unaweza amka tu siku ukatelekeza familia ya watoto wanne kisa furaha yako na kimwanaume flani una Mtatizo ya Akilii...
Ova