PENZI LILILOTAZWA.. (Based on A True Story)


Facebook phising teh teh teh teh teh teh teh
 
dah! Yaukwel na ni nzur umetumia muda gan kutunga au kwanini usiende RADIO FREE AFRICA UKASIMULIE MZAZI mana unajua kutengeneza picha kha!
 
Hakuna sehemu inayoonyesha mlipata wasaa wa kuvaa zana.

sasa mtoto angetokea wapi jameni!?afu kama ni kosa alishakosea mwanzoni so kuvaa tena angekuwa anajidanganya tuu.pia since anasema it's based on a true story,basi manake anatuambia kiuhalisi kabisa kilichotokea kikiwa tu na mguso wa ki-sanii(artistic touch) ndo maana kamanda ana ka-fotokopi ka marehemu zuwena!!
 

Wakati mwingine watu wanashindwa kuelewa kuwa stori huwa zinaandikwa kwa ajili ya burudani tu; hivi kwenye movie ngapi umeona watu wanaanza kuvaa zana kwanza? Mara nyingi stori hizi ni za kuburudisha, msomaji anatakiwa kujua wajibu wake maana mwisho itakuwa mbona "baada ya kula hawakushirikiana kuosha vyombo".. au mbona "hawakujifunika shuka, ingekuwaje kama mtu anawalia chabo na kuwaweka kwenye youtube"...
 
Mhhh Aksante kuna mistari na mbinu nitajaribu kuzitumia . Yaani tushindwe kuendelea kicuchumi, kiafya kielimu Hata kimapenzi na mahusiano.
 
Mhhh Aksante kuna mistari na mbinu nitajaribu kuzitumia . Yaani tushindwe kuendelea kicuchumi, kiafya kielimu Hata kimapenzi na mahusiano.

Yaani unasema "angalau" katika huku tuoneshe na sisi wamo eh? Well.. tuombe uzime mnaweza kukuta kastori kangu fulani kwenye Lifetime Channel au Hallmark channel.. one of these days.
 
Oooh mwana kijiji nimechemsha, nimesoma weeee si malizi ghafla face book hiyoo eeeh nika sepa aiseee, ntamalizia badae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…