Penzi linanisumbua akili yangu

Kwa nn umelianzisha tena!?? Ulikuw unatak kuvunja tena ulichokivunja ukakijenga tena!?
 
Nakushauri tu Toa penzi weka akili simple tu
 
Muache alieanza wew hapo unavuruga mapenz ya watu! Na kama kachiti na wew kwa bos wako atachit n haus boi huyo... Tafuta bikira Jokajeusi
 
Nzi kufia kwenye kidonda sio ufala ila kapenda...
 
Ukifukuzwa kazi unaanza vizinga mtaani kisa mbunye wabongo tunaendekeza sana ngono demu anashindwa kukupa jibu maana we mwenyewe hueleweki ungekuwa na hela unafikri angejali huyo bosi tafuta hela na wewe uwe boss
 
Kwa hiyo wewe unataka boss aachwe???? Hivi mzima kweli kichwani humoo??? Mkifukuzwa kazo wote kwa kuundiwa zengo utaweza kumhudumia huyo binti au kumtafutia ajira nyingine...???

Kulaa vyako na boss ale vyake.. Mengina hayakuhusuu ukitaka wa peke ako tafuta mwingine ambapo utakuwa unashare na jamaa ambae humjui hiyo ndo itakuwa tofauti.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hapo njia ni moja tuu kaka. Kuwa na hela nyingi kuliko boss basi. Zaidi ya hapo wee kula mbususu usitake keweka kambi hapo. Dah jamaa umepata bahati yaani demu anakuletea mbususu na anakuwa muwazi kiasi hicho wee unataka leta mapenzi ya kihindi🤣🤣🤣🤣🤣
 
Umegonga mule mule kaka
 
Nimeshangaa sana mwanaume wa hivi sijui ni matatizo ya akili[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Me nyie demu akisema tukulane kama hivyoo ndo vizuri hakuna plan wala future dadeki.. Boss anatoa huduma tena ntamwambia awe mtiifu sana kwa boss.. Yani nataka nipate demu ambae mnakulana bhasi no plan.
 
Jamaa anachezea bahati huyu. Tena ata akiwa na wewe alafu bosinanapiga simu una muamrisha apokee simu fasta kabisa.
Unachofanya wewe ni kula mbususu tuu.
 
Jamaa anachezea bahati huyu. Tena ata akiwa na wewe alafu bosinanapiga simu una muamrisha apokee simu fasta kabisa.
Unachofanya wewe ni kula mbususu tuu.
Mkuu acha tu sijui anakwama wapi huyu jamaaa.. I wish atuelewe yani.
 
Kula mnanasi uyo acha uzembe wewe pia boss ni mume mwenzio na uheshim uwepo wake, utaenjoy sana mbususu karibu ktk ulimwengu wa kitonga na ganda ka ndizi
 
Unasema ulimkuta boss ukaja nyuma, Sasa Kama boss bado anakula wewe unamtaka ya nini? Na inakuaje unakuwa na mtu na wewe mwenyewe unajua analiwa na mwingine bado unahangaika ,ni uboya unajua anatembea na boss na anashindwaa kuamua we bado upo Kama ruba
 
Sasa unataka kuambiwa nini au akudanganye ameachana nae afu anatoa mbunye kama kawa
 
Kama anakupenda atamuacha boss. Ila kimaasilai hawez kuwa na wewe kwasababu boss ukute anampa mkwanja wa maana . jifkrie na wewe usikaze ubongo unapendwa ama mnasogeza muda
 
Tafuta hela kijana ili uweze kumkula pekeako sasa bosi anahudumia wewe unakula kisela alafu unaleta nyenyenye
 
we nae hebu jiongeze,sisi wanawake tuko hivi, mwanamke akipenda kila kitu anafanya automatically yani anakuwa kama kapewa limbwata, hujaita anaitika, sasa basi ungekuwa wa muhimu kiasi hicho angeshamuacha huyo boss wenu kitambo sana bila hata kuambiwa na mtu, tena kipindi kile kile cha mwanzo kabisa ambacho ulimpa hiyo condition mwisho wa siku ukaamua kujitoa wewe mwenyewe, na hata sasa usitegemee cha tofauti, huo mstari wa mwisho labda ujiongelee wewe ndie unaeumi, mwenzio wala hana shida kama bado unamtaka stay and share hutaki let her go, she is fine.
 
Yeah unachosema ni kweli, na hata last week tulizungumzia hilo suala alichodai hana sababu ya kumweleza mkuu, ila nimpe muda afanye timing na jambo liwe mwisho, alternatively nikaweka option ya kujitoa kwani naona hakuna haja ya kutembea na sisi wote wawili, kwa kweli aliomba nisimwache itamvuruga akili sana na itamfanya ajute, kwa hiyo hilo ndo picha kamili. Kwa upande wangu nimeshajipanga kuanza maisha upya kwan hata mzuka nimepunguza sana , kama hataweza basi mi nasepa mchana kweupe!!!!!!!!
 
huyo boss wenu ana mke?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…