Daaaaaah ngoja niache wivu kwa huyu mdada meanwhile najitoa kidogo kidogo sababu ni kweli nakubali nilimpenda, wacha nitoke kwenye penzi la wivu nibaki kwenye penzi la ridhaaaa huku nikitafuta kuwa free for all, kwni kuacha nako itakuwa ni processUngetulia tu umkule ukimchoka utamwacha.Mapenz yasiyo ya kudumu hutakiwi kuwa na wivu nayo
Mapenzi na mtu mliye ofisi moja ni kujitakia majanga tu.Wazee mkumbuke mimi nimekuta mdada ana mahusiano tayari, Boss alianza mimi nakaja nyuma!!!! Na nilikuwa nimeambiwa b4 sasa nataka abaki mmoja ama mimi au Boss ndo maana nimetoa muda achague kwakuwa nilikuwa najuwa picha lote! ningekuwa nimeanza mimi wala kulikuwa hakuna mjadala!!
Mskip huyo demu utakuja kunishukuru baadae.Wandugu kama kawaida si rahisi kuishi bila kuwa katika mapenzi, nimekuwa katika mikiki ya mapenzi kwa muda sasa. Story iko hivi nilikuwa na urafiki wa kawaida na dada mmoja hapa ofisini, uhusiano ambao sikutegemea kama ipo siku utabadilika kuwa penzi. Katika kuishi na huyu dada nikajikuta nimepatwa na feelings nying na kubwa, kiasi kwamba nikaomba tuwe wapenzi. Kiukweli alikuwa mgumu wa kulikubali hilo ombi na ikachukuwa kama miezi mitatu ndipo alipokubali.
Siku tuliyokutana kabla ya tendo binti aliniambia jambo lilokuwa kikwazo kwangu na niliishiwa nguvu kabisa, aliniambia kwa wakati ule tayari alikuwa na mahusiano na Mr. X ambaye ni Boss wetu mimi na yeye. Mmmmmh mapenzi si mchezo nikala mzigo kama kawaida na tukaendelea kuibana hivyo hivyo, baadaye mimi niliona si vema kuendelea na demu mwenye mabwana wawili yaani mimi na Mr.X, nikaweka condition ya yeye kuchagua moja ama mimi au Mr.X, jambo hilo likawa gumu sana kwake kwa kuwa hajuwi chakufanya . Kwa ujasiri kabisa nikaamua kuachana nae kwa sababu hawezi kusema OVER KWANGU au kwa mwenzangu na jambo baya zaidi ni kwamba mwenzangu hajuwi kama nami nimo kwenye hiyo game.
Ofcourse tulikaa miezi kama miwili bila mawasiliano na demu lakini baadae tukaja rudiana tena na kusema kwamba tu focus on our relation na huyo mwingine iwe ni suala la muda kwani mpaka yeye anakuja kwangu ni wazi ana mapenzi nami. Last week mimi nikalianzisha tena kwamba siwezi kula mzigo na mtu mwingine kwahiyo suala hili lazime lifike mwisho., ingawa sijamwmambia naona nitoe kipindi cha angalau miezi minne yeye atafakari na mwisho nijuwe moja kama tulimaliza au yeye anaendelea na mahusiano na Mr.X.
Naomba ushauri je kuna njia nyingine naweza tumia kumaliza hili jamabo bila kuumizana kati ya yeye na mimi!!!!!!
Sasa sijui tuoe majobless maana huko maofisini kila MTU anajisevia...Jamani, yani unasumbua kichwa kwa mwanamke ambae ana wanaume wa tatu????????? mume, boss na wewe π±π±π±π± mweeeee. Nimeishiwa pozi
Sasa sijui anachoumia ni nini!! Mwanamke ana wanaume 3 tena ni mke wa mtu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umenifurahisha sana, jamaa anacheza na mali ya wenyewe. Ni Kama kukata tawi ulilolikalia.
Mkuu kwani unataka ujenge fensi kwnye hiyo mbususu tafuta kidumu cha pembeni uwe unachapa iwe ngoma droo......Wandugu kama kawaida si rahisi kuishi bila kuwa katika mapenzi, nimekuwa katika mikiki ya mapenzi kwa muda sasa. Story iko hivi nilikuwa na urafiki wa kawaida na dada mmoja hapa ofisini, uhusiano ambao sikutegemea kama ipo siku utabadilika kuwa penzi. Katika kuishi na huyu dada nikajikuta nimepatwa na feelings nying na kubwa, kiasi kwamba nikaomba tuwe wapenzi. Kiukweli alikuwa mgumu wa kulikubali hilo ombi na ikachukuwa kama miezi mitatu ndipo alipokubali.
Siku tuliyokutana kabla ya tendo binti aliniambia jambo lilokuwa kikwazo kwangu na niliishiwa nguvu kabisa, aliniambia kwa wakati ule tayari alikuwa na mahusiano na Mr. X ambaye ni Boss wetu mimi na yeye. Mmmmmh mapenzi si mchezo nikala mzigo kama kawaida na tukaendelea kuibana hivyo hivyo, baadaye mimi niliona si vema kuendelea na demu mwenye mabwana wawili yaani mimi na Mr.X, nikaweka condition ya yeye kuchagua moja ama mimi au Mr.X, jambo hilo likawa gumu sana kwake kwa kuwa hajuwi chakufanya . Kwa ujasiri kabisa nikaamua kuachana nae kwa sababu hawezi kusema OVER KWANGU au kwa mwenzangu na jambo baya zaidi ni kwamba mwenzangu hajuwi kama nami nimo kwenye hiyo game.
Ofcourse tulikaa miezi kama miwili bila mawasiliano na demu lakini baadae tukaja rudiana tena na kusema kwamba tu focus on our relation na huyo mwingine iwe ni suala la muda kwani mpaka yeye anakuja kwangu ni wazi ana mapenzi nami. Last week mimi nikalianzisha tena kwamba siwezi kula mzigo na mtu mwingine kwahiyo suala hili lazime lifike mwisho., ingawa sijamwmambia naona nitoe kipindi cha angalau miezi minne yeye atafakari na mwisho nijuwe moja kama tulimaliza au yeye anaendelea na mahusiano na Mr.X.
Naomba ushauri je kuna njia nyingine naweza tumia kumaliza hili jamabo bila kuumizana kati ya yeye na mimi!!!!!!