Penzi linaporomoka wakati tunakaribia kuoana

Penzi linaporomoka wakati tunakaribia kuoana

jitulawatu

Member
Joined
Aug 9, 2020
Posts
52
Reaction score
49
Jaman mimi ni mwanaume niko na kamchumba kangu tulikuwa tunaongea na simu mpaka saa nane za usiku[emoji23][emoji23], ila gafla baada ya kuamua kuoana naanza kuona ninapunguza upendo kwake tena bila hata sababu ya msingi masikini ya Mungu.

Ila najikuta namtafutia visababu yaani vikasoro kasoro, japo yeye mwanamke wangu ndiyo kafa mpaka anaoza, sasa sielewi kwa wote huwa inakuwa hivyo au ni mashetani tu nipuuze?
 
Vile mimi na Babe wangu wa JF tunafuatilia kwa huzuni kubwa kisa chako cha 'penzi linaporomoka wakati tunakaribia kuonana'👇😁😁😁
AE1gh3.jpeg
 
Sijui nipoje 🎶 sijui nipooje nikishamchoka sababu namtafutia mimi 🎶 sijui nipooje 🕺
 
Jaman mimi ni mwanaume niko na kamchumba kangu tulikuwa tunaongea na simu mpaka saa nane za usiku[emoji23][emoji23], ila gafla baada ya kuamua kuoana naanza kuona ninapunguza upendo kwake tena bila hata sababu ya msingi maskini ya Mungu.

Ila najikuta namtafutia visababu yaani vikasoro kasoro, japo yeye mwanamke wangu ndiyo kafa mpaka anaoza, sasa sielewi kwa wote huwa inakuwa hivyo au ni mashetani tu nipuuze?
Kuna hiyo situation sijui tuiitaje ila ni ya mpito mkuu jipe muda tengeneza mazingira ya kummiss nadhan upendo utarud,,ukimuacha baada ya mda utammiss tena mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaman mimi ni mwanaume niko na kamchumba kangu tulikuwa tunaongea na simu mpaka saa nane za usiku[emoji23][emoji23], ila gafla baada ya kuamua kuoana naanza kuona ninapunguza upendo kwake tena bila hata sababu ya msingi maskini ya Mungu.

Ila najikuta namtafutia visababu yaani vikasoro kasoro, japo yeye mwanamke wangu ndiyo kafa mpaka anaoza, sasa sielewi kwa wote huwa inakuwa hivyo au ni mashetani tu nipuuze?
Ndio penzi linakomaa hivyo.
Mlikotoka lilikuwa penzi changa.
Oa huyo ndio mke wako na uishinde hali hiyo
 
Jaman mimi ni mwanaume niko na kamchumba kangu tulikuwa tunaongea na simu mpaka saa nane za usiku[emoji23][emoji23], ila gafla baada ya kuamua kuoana naanza kuona ninapunguza upendo kwake tena bila hata sababu ya msingi maskini ya Mungu.

Ila najikuta namtafutia visababu yaani vikasoro kasoro, japo yeye mwanamke wangu ndiyo kafa mpaka anaoza, sasa sielewi kwa wote huwa inakuwa hivyo au ni mashetani tu nipuuze?
Naelewa hiyo hali na nikajifunza katika kuwatokea hawa watoto wa kike gia ya kusema utamuoa sio nzuri na sitakuja kuitumia tena wanawake wengine huwa wanamaanisha

Huwa wanaumia sana kihisia na kulia ukiwa umeshamgegeda sana halafu baadaye mdogomdogo unajitoa kwenye kuoa
 
Naelewa hiyo hali na nikajifunza katika kuwatokea hawa watoto wa kike gia ya kusema utamuoa sio nzuri na sitakuja kuitumia tena wanawake wengine huwa wanamaanisha

Huwa wanaumia sana kihisia na kulia ukiwa umeshamgegeda sana halafu baadaye mdogomdogo unajitoa kwenye kuoa
Asante mzee wa kupambania
 
Jaman mimi ni mwanaume niko na kamchumba kangu tulikuwa tunaongea na simu mpaka saa nane za usiku[emoji23][emoji23], ila gafla baada ya kuamua kuoana naanza kuona ninapunguza upendo kwake tena bila hata sababu ya msingi maskini ya Mungu.

Ila najikuta namtafutia visababu yaani vikasoro kasoro, japo yeye mwanamke wangu ndiyo kafa mpaka anaoza, sasa sielewi kwa wote huwa inakuwa hivyo au ni mashetani tu nipuuze?

Ujinga huo
 
Back
Top Bottom