Penzi mubashara (My king Vladmirovich Putin)

Hawapo ,,ila nmelazimika kuwafikisha hapa ...ukitaka kujua kwann???
REJEA KOMENTI YAKO YA KEJELI ULOITOA .

Sihitaji kurejea hata nakijua nlichokiandaka nikwamba usilazimishe watu waamini au waseme utakavyo ww alafu swala la wazazi huku halimo man nimecomment kitu kimekukwaza deal na mm mjomba wengine waache
 
Sihitaji kurejea hata nakijua nlichokiandaka nikwamba usilazimishe watu waamini au waseme utakavyo ww alafu swala la wazazi huku halimo man nimecomment kitu kimekukwaza deal na mm mjomba wengine waache
Basi saw mkuuu.., you just need to control ur tongue ...then namm nicontrol ulimi Wangu.


Kama ,utanigusa ktk sehem yakuniuzi ...namm lazima nikuguse sehem inayoumiza .


Ili mwisho ,,wote tuwe ktk mzani sawa !!![emoji23] [emoji109]
 
Naona umekuja na Waraka mrefu kushinda Wa yohana. Usiniforce niwe positive wakati hili ni jukwaa huru .halafu Hizo couple ulizoziorodhesha Kiufupi sizifatiliagi Kabisa na sizijui mimi Huwa na comment kilichopo wakati huo.
 
Naona umekuja na Waraka mrefu kushinda Wa yohana. Usiniforce niwe positive wakati hili ni jukwaa huru .halafu Hizo couple ulizoziorodhesha Kiufupi sizifatiliagi Kabisa na sizijui mimi Huwa na comment kilichopo wakati huo.
Aaahhhhh sawa ,,kumbe Couple hiii ndo inakupanda kichwan sana sababu ipo wazi [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] .
Then stop ur Curious Varvara's nose kwasababu HAMNA COUPLE YA JINSIA MOJA !!!.


KINACHOFANYA NIKUDHARAU ,,, NIUNAPOTUMIA KULAZIMISHA SHE IWE HE NA HE IWE SHE ...IMPOSSIBLE .

Weee nenda uendeleee kupost umbeya unaousikia maredion na mitandaon basi .
 
Hahahaaaaaa Eti Hiyo couple inipande kichwani kwa lipi hasa, naona comment yangu imekutoa povu Sana .sio kwa magazeti unayoshusha . Na ukinidharau ndiyo kinabadilika nini kwa mfano ?
 
Hahahaaaaaa Eti Hiyo couple inipande kichwani kwa lipi hasa, naona comment yangu imekutoa povu Sana .sio kwa magazeti unayoshusha . Na ukinidharau ndiyo kinabadilika nini kwa mfano ?
Hahaha hamna kitu hapo.

Ujue nyinyi wanawake niwatu wenye wivu sana unapomuona mwenzako EITHER Anajivunia sana mahusiano yake nayanampa raha ,raha ambayo unaishudia kwamacho yako OR unapona Mwanamme akielezea raha anayoipata toka kwa mwanamke wake nanamna gani anajisikia kua naye...

Kwaiyo ,sishangai sana ,,Bila shaka Jamaa wako Siku akikuandika humu utafurahia sanaaaaaaaaaaaaa mpaka watu watajua kweli Leo umefurahi.
Lkn kwakua bado basi hata km yupo humu bado hujiamin .

Nikusaidie ,,,,,Unapoona post ya Mima au Mimi Putin ..acha kufungua nakusoma ..maana utasoma ,alafu zinakutia uchungu ,namwisho unaumia nakuamua kujiridhisha kwa Uongo unaojaribu kuufanya uwe kweli.

Huo ndo ukweli ,ingawa hampendi kuusikia.
 
Putin alinisaidia sana leo kufikisha ujumbe wangu kwa kipendacho roho kama sabrina, nami namtakia kila la kheri,
 
Mulitiple ID's
una weza kuta ni mtu mmoja uyu!!
Cc.mods embu unganisheni izi ID tujue mbivu na mbichi isije ikawa ndo kama mambo ya Husna the bosslady
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…