PENZINI NA PETER WA P SQUARE!!!

PENZINI NA PETER WA P SQUARE!!!

MwanawaMUNGU41

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2015
Posts
1,036
Reaction score
737
Ndoto hii ilikiwa the best kati ya ndoto zoote nilizowahi kuota,alikuwa na true love,siyo kwa kunipet pet kule,nikajihisi niko akhera,mara nastuka najikuta bado napaswa kudeal na wa bongoo wazee wa minyoosho na kucheat!! Chozi linanitoka, sitaisahau ndoto ile!!
 
Pole sana mkuu. Ndoto za mchana siyo nzuri aisee.
 
Jf jamani mkianza kutokwa na.mapovu loooohh bora hata yangekuwa povu la.OMO...mnatoa povu la.puff au cleansoft dah...hii shida aisehh
 
Uliambiwa Peter ndio mwanaume asiye cheat? wazee wa kukariri kama kawaida yenu hahaahah wanawake ni shida
 
Uliambiwa Peter ndio mwanaume asiye cheat? wazee wa kukariri kama kawaida yenu hahaahah wanawake ni shida
Ni ndoto kwani kwenye ndoto hakunionyesha kucheet,humjui nilie nae nikuazime siku moja tu mzee wa kutokariri
 
Back
Top Bottom