People living around Mt. Kilimanjaro

jamani mbona hamjaweka wa kipare....mnisamehe ,,,

Mchaga na Mpare walikuwa kwenye pombe za kienyeji, Mchaga akamwambia Msuya, sisi wapare tunaomba sir God afute ile amri ya saba wapare wote watakuwa peponi aitheee! Moshiro naye akasema Msee ile amri ya nane ni shida kwetu uchagani, ikufutwa ile wote tuko mbinguni babaangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…