FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
jamani mbona hamjaweka wa kipare....mnisamehe ,,,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
eeeh bana mi si ndo nikaogopa................B huyu Masa huwa naenda nae pole pole
jamani mbona hamjaweka wa kipare....mnisamehe ,,,
hahaha..have read btn the lines already B...lol...big up
Unajua maana yake?
ha ha ha comrade haya bana!!Usingejaza thread kwa kutoandika huna comment!
yeah mkuu maeneo ya Kibororoni kila aina ya supu utapata!Kimey is this ur comment? Hahahahahahahah pata supu ya pua za Kitimoto!
Nikupe senkyu ya nini? naendelea kunoa panga langu hapa na jua utapita tu kwenda ukweni si lasima upita hapa hapa.Naondoa hii post yaani hawa tu ndo wamenipa thanks
Hawa nao vipi?
Nikupe senkyu ya nini? naendelea kunoa panga langu hapa na jua utapita tu kwenda ukweni si lasima upita hapa hapa.
Akirudia tena ndo tuchinje sio?usimuue, kata masikio tu kwanza......
Kama siyo serious kwa nini asiweke kwenye jukwaa la Jokes?Mommy acha jazba sio kila kitu ni serious JF
Akirudia tena ndo tuchinje sio?
Aisee we acha tu na jua cha kumfanya huyu Masa.usimuue, kata masikio tu kwanza......
sawa sawa bibie your wish is my command!!eeeh Meku, akirudi mmalizieni kabisa...........potezeni na ushahidi
sawa sawa bibie your wish is my command!!