Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua Masa, unaeza sababisha wengine tusipate waume wa kutuoa kwa sababu zako hizo ulizoeka hapo??? Labda kuna mtu alishaanza kuonyesha interest kidogo halafu unakuja kuharibu na obuzavesheni zako hizo.......................
Unajua Masa, unaeza sababisha wengine tusipate waume wa kutuoa kwa sababu zako hizo ulizoeka hapo??? Labda kuna mtu alishaanza kuonyesha interest kidogo halafu unakuja kuharibu na obuzavesheni zako hizo.......................
Unajua Masa, unaeza sababisha wengine tusipate waume wa kutuoa kwa sababu zako hizo ulizoeka hapo??? Labda kuna mtu alishaanza kuonyesha interest kidogo halafu unakuja kuharibu na obuzavesheni zako hizo.......................
si ndio hapo
hataki wakina chapa ng'ombe waoe kule huyu
ana visa huyo...tutashindwa kulijenga taifa lenye mchanganyiko wa makabila kwa sababu zake hizo
Unajua Masa, unaeza sababisha wengine tusipate waume wa kutuoa kwa sababu zako hizo ulizoeka hapo??? Labda kuna mtu alishaanza kuonyesha interest kidogo halafu unakuja kuharibu na obuzavesheni zako hizo.......................
si ndio hapo
hataki wakina chapa ng'ombe waoe kule huyu
ana visa huyo...tutashindwa kulijenga taifa lenye mchanganyiko wa makabila kwa sababu zake hizo
hivi kwani hili linawahusu jamani?🙄
nimekupiga na senksi nyingine tena hapa!USIONDOE WALA NINI.kanyaga twende kiongozi,😀Naondoa hii post yaani hawa tu ndo wamenipa thanks
Hawa nao vipi?
Naondoa hii post yaani hawa tu ndo wamenipa thanks
Hawa nao vipi?
Sio Ulala ni Urara,Masa nimekushtukia kumbe wewe ndiye shemeji yangu ? alafu unakuja kumwaga siri za Dada zangu hapa?Kule ulala Machame! Karibu na Sokoni balaaaaa
Sio Ulala ni Urara,Masa nimekushtukia kumbe wewe ndiye shemeji yangu ? alafu unakuja kumwaga siri za Dada zangu hapa?
Aisee natamani niku kate na panga papa angu umeniusi sana,pasaka hii usije huku nita kukamatia pale Kalali sokoni.
hivi kwani hili linawahusu jamani?🙄
hivi kwani hili linawahusu jamani?🙄
Naondoa hii post yaani hawa tu ndo wamenipa thanks
Hawa nao vipi?
Naondoa hii post yaani hawa tu ndo wamenipa thanks
Hawa nao vipi?