People living around Mt. Kilimanjaro

People living around Mt. Kilimanjaro

Unajua Masa, unaeza sababisha wengine tusipate waume wa kutuoa kwa sababu zako hizo ulizoeka hapo??? Labda kuna mtu alishaanza kuonyesha interest kidogo halafu unakuja kuharibu na obuzavesheni zako hizo.......................
 
Unajua Masa, unaeza sababisha wengine tusipate waume wa kutuoa kwa sababu zako hizo ulizoeka hapo??? Labda kuna mtu alishaanza kuonyesha interest kidogo halafu unakuja kuharibu na obuzavesheni zako hizo.......................

Unamwambia mababu walitokea huko ila wewe ni born town!
 
Unajua Masa, unaeza sababisha wengine tusipate waume wa kutuoa kwa sababu zako hizo ulizoeka hapo??? Labda kuna mtu alishaanza kuonyesha interest kidogo halafu unakuja kuharibu na obuzavesheni zako hizo.......................

si ndio hapo
hataki wakina chapa ng'ombe waoe kule huyu
 
Unajua Masa, unaeza sababisha wengine tusipate waume wa kutuoa kwa sababu zako hizo ulizoeka hapo??? Labda kuna mtu alishaanza kuonyesha interest kidogo halafu unakuja kuharibu na obuzavesheni zako hizo.......................

si ndio hapo
hataki wakina chapa ng'ombe waoe kule huyu

ana visa huyo...tutashindwa kulijenga taifa lenye mchanganyiko wa makabila kwa sababu zake hizo
 
HII SASA ni balaa!
ngoja niwahi valuu
 
Unajua Masa, unaeza sababisha wengine tusipate waume wa kutuoa kwa sababu zako hizo ulizoeka hapo??? Labda kuna mtu alishaanza kuonyesha interest kidogo halafu unakuja kuharibu na obuzavesheni zako hizo.......................

si ndio hapo
hataki wakina chapa ng'ombe waoe kule huyu

ana visa huyo...tutashindwa kulijenga taifa lenye mchanganyiko wa makabila kwa sababu zake hizo

hivi kwani hili linawahusu jamani?🙄
 
Kule ulala Machame! Karibu na Sokoni balaaaaa
Sio Ulala ni Urara,Masa nimekushtukia kumbe wewe ndiye shemeji yangu ? alafu unakuja kumwaga siri za Dada zangu hapa?
Aisee natamani niku kate na panga papa angu umeniusi sana,pasaka hii usije huku nita kukamatia pale Kalali sokoni.
 
nimekupiga na senksi nyingine tena hapa!USIONDOE WALA NINI.kanyaga twende kiongozi,😀

Nimekutuku na wewe! Nitakuja na version ya wale wa Kishimundu soon!
 
..Chauli yenu! uchimeche, uchiteme wala uchimumunye!!!
 
nilikuwa sijamsoma mshiki,LEO NIMESTUKA!senksi mpwa😀😀
 
Sio Ulala ni Urara,Masa nimekushtukia kumbe wewe ndiye shemeji yangu ? alafu unakuja kumwaga siri za Dada zangu hapa?
Aisee natamani niku kate na panga papa angu umeniusi sana,pasaka hii usije huku nita kukamatia pale Kalali sokoni.

Urara meku! soreeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mnaotoka chini na Mlima Kilimanjaro naombeni thanks duuuuuuuuuuuuuuuuu!
 
Back
Top Bottom