Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 833
ha ha ha Kony best yangu siku izi!heeee meku tena sasa naona atahri za wewe kukaa na Gen. Kony
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha ha Kony best yangu siku izi!heeee meku tena sasa naona atahri za wewe kukaa na Gen. Kony
ha ha ha Kony best yangu siku izi!
Umejuaje hajakudanganya mpaka sasa! LoL
hao tuwaangaliage tuu...mara ooh karanga, sijui valuu, sijui pweza...kama anajiamini si aje mkavu mkavu tuone...unaona kijamaa kinajitutumua kumbe kingejua rohoni unasema na huyu nae makwekwe bure bao moja kinatafuta maji ya kunywa yalipo....dume rijali haliitaji GPU...wasijidanganye
nothing really😀whats happening here?
nothing really😀
Hebu tufahamishe kama mke wa mtu hivi vijamaa vinavyojitutumua kumbe rohoni kwako unasema, "huyu naye makwekwe bure bao moja kinatafuta maji ya kunywa yalipo" huwa unakutana navyo wapi?
wewe bana NILIJUA TU!nilivyoona kimya nikawa mpole.kesho UKWENI(rombo) kama kawaida au?😀😀Huyu kijana naona ameamka na hangover! Hivi jana ulinisms?
Usifanye mchezo na promotion ya valeur.......😀😀😀
Hebu nielekeze namna ya kuiweka.ignore list...continua
wewe bana NILIJUA TU!nilivyoona kimya nikawa mpole.kesho UKWENI(rombo) kama kawaida au?😀😀
Mi leo ndio nimekujua dada yangu. Kumbe wamarangu ndivo mlivo?Kazi kweli kweli, waswahili walisema "tembea uone".
Hebu nielekeze namna ya kuiweka.
Masa anachungulia dirishani aseee. Yani anamwita mshiki KUBOTA?😀😀😀!!
hehehehe!hapo tutamjadili masanilo,na INVIZIBO.wote wawili wana kesi ya kujibuUmeamua kuulizia nywele saluni?
Na Bwashee si unaona alivosema hapo chini?masa mtake kaka radhi tafadhali
Naona Invisible anahitaji Ban. Haiwezekani afanye vile. Ntakuwa wa kwanza kufika.hehehehe!hapo tutamjadili masanilo,na INVIZIBO.wote wawili wana kesi ya kujibu