Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah wewe mtanzanzia unaipenda Kenya sana. Umesahau juzi juzi tu ulivokuwa unaimba, hapa kazi tu na JPM jembe la kweli? 😀😀😀RAO is my President! Nasubiri kuacha kulipa kodi kwa serikali ya Republic President na kulipa kwa People's President.
Raila ata akiitisha rally kasarani,Uhuru park,afraha ,kinoru,saa kumi na moja jioni,uwanja unajaa mara moja..huyu jama anapendwa na wakenya sana ata sisi Wakikuyu tunamuamini sana kama kiongozi thabiti.The two events were very different hio empty stadium ilkua wakati wa jamuhuri... Kuapishwa kwa Uhuru uwanja ulijaa hadi nje kulkua na stampede
Sasa umetaja kabila lako ndo iweje? Kawaida ya Raila na wafuasi wake. Huwa hamna agenda yeyote kando na kuchapa siasa za kikabila na kisasi. Mnamlaumu Kalonzo kwa kutofika pale bustani ya Uhuru Park. Lakini wanaomshauri Kalonzo wanasema kwamba ubaguzi wa kikabila ndani ya NASA ulizidi kabla ya hiyo tarehe, hadi Kalonzo mwenyewe hawakutaka kumueleza kuhusu matayarisho ya kuapishwa kwake. Yaani hadi kiapo chake hakujua maneno yatakayotumika ni yapi. Miguna Miguna, T.J Kajwang, James Orengo jamaa watatu waliomwapisha Raila. Hapo hata nafasi moja tu hawakuweza kumpa mtu ambaye hajatoka kule kanda la ziwa?Raila ata akiitisha rally kasarani,Uhuru park,afraha ,kinoru,saa kumi na moja jioni,uwanja unajaa mara moja..huyu jama anapendwa na wakenya sana ata sisi Wakikuyu tunamuamini sana kama kiongozi thabiti.
Wacha "kuropokwa"!Sasa umetaja kabila lako ndo iweje? Kawaida ya Raila na wafuasi wake. Huwa hamna agenda yeyote kando na kuchapa siasa za kikabila na kisasi. Mnamlaumu Kalonzo kwa kutofika pale bustani ya Uhuru Park. Lakini wanaomshauri Kalonzo wanasema kwamba ubaguzi wa kikabila ndani ya NASA ulizidi kabla ya hiyo tarehe, hadi Kalonzo mwenyewe hawakutaka kumueleza kuhusu matayarisho ya kuapishwa kwake. Yaani hadi kiapo chake hakujua maneno yatakayotumika ni yapi. Miguna Miguna, T.J Kajwang, James Orengo jamaa watatu waliomwapisha Raila. Hapo hata nafasi moja tu hawakuweza kumpa mtu ambaye hajatoka kule kanda la ziwa?
Eti nini wakikuyu ? Bro Mambo yapo poa changing inakuja Kenya very soon.Sasa umetaja kabila lako ndo iweje? Kawaida ya Raila na wafuasi wake. Huwa hamna agenda yeyote kando na kuchapa siasa za kikabila na kisasi. Mnamlaumu Kalonzo kwa kutofika pale bustani ya Uhuru Park. Lakini wanaomshauri Kalonzo wanasema kwamba ubaguzi wa kikabila ndani ya NASA ulizidi kabla ya hiyo tarehe, hadi Kalonzo mwenyewe hawakutaka kumueleza kuhusu matayarisho ya kuapishwa kwake. Yaani hadi kiapo chake hakujua maneno yatakayotumika ni yapi. Miguna Miguna, T.J Kajwang, James Orengo jamaa watatu waliomwapisha Raila. Hapo hata nafasi moja tu hawakuweza kumpa mtu ambaye hajatoka kule kanda la ziwa?
Sasa umetaja kabila lako ndo iweje? Kawaida ya Raila na wafuasi wake. Huwa hamna agenda yeyote kando na kuchapa siasa za kikabila na kisasi. Mnamlaumu Kalonzo kwa kutofika pale bustani ya Uhuru Park. Lakini wanaomshauri Kalonzo wanasema kwamba ubaguzi wa kikabila ndani ya NASA ulizidi kabla ya hiyo tarehe, hadi Kalonzo mwenyewe hawakutaka kumueleza kuhusu matayarisho ya kuapishwa kwake. Yaani hadi kiapo chake hakujua maneno yatakayotumika ni yapi. Miguna Miguna, T.J Kajwang, James Orengo jamaa watatu waliomwapisha Raila. Hapo hata nafasi moja tu hawakuweza kumpa mtu ambaye hajatoka kule kanda la ziwa?