Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Ndiye bingwa...wa msimu huu
Pochetino na Spurs nao wako vizuri sanaBingwa ni TOTENHAM HOTSPURS.
Jikite kwenye maamuzi yako.
Hakuna kitu hapo, Gooners wanakufa kifo kibaya sana. Spurs ndio watakaoitingisha Man Ctyutaanza kumkataa Pep kwenye match na Arsenal ze mitutuz
Mtaishi maisha ya tabu sana Safari hii
Mliicheka Real Madrid ilipo kua inabadilisha makocha Kama bukta kisa uepo wa pep guadiola akiwa barca, sasa ni zamu yenu na cjui mtawaleta makocha gani WA kumtingisha pep guadiola pale epl, Safari hii mpende msipende lazma muite maji mmah! Huyu ndo kocha wa dunia habahatishi kila anachokifanya ameshakifanyia utafit! One love Manchester City chama langu kila la kheri katika safari ya ubingwa 2017-2018 !!!!
Asipo beba ubingwa najitoa jamiiforums.na.sitakanyaga tena hapa,
Mtaishi maisha ya tabu sana Safari hii
Mliicheka Real Madrid ilipo kua inabadilisha makocha Kama bukta kisa uepo wa pep guadiola akiwa barca, sasa ni zamu yenu na cjui mtawaleta makocha gani WA kumtingisha pep guadiola pale epl, Safari hii mpende msipende lazma muite maji mmah! Huyu ndo kocha wa dunia habahatishi kila anachokifanya ameshakifanyia utafit! One love Manchester City chama langu kila la kheri katika safari ya ubingwa 2017-2018 !!!!
Asipo beba ubingwa najitoa jamiiforums.na.sitakanyaga tena hapa,
Ndio, Kwani sistahili kuwepo huku? kuna watu maalumu wa kuwa huku?Duh mkuu na wewe huku upo?
Guardiola kubeba ama kutobeba epl kuna uhuusiano gani naww kuwepo Jamiii Forum?!!!Mtaishi maisha ya tabu sana Safari hii
Mliicheka Real Madrid ilipo kua inabadilisha makocha Kama bukta kisa uepo wa pep guadiola akiwa barca, sasa ni zamu yenu na cjui mtawaleta makocha gani WA kumtingisha pep guadiola pale epl, Safari hii mpende msipende lazma muite maji mmah! Huyu ndo kocha wa dunia habahatishi kila anachokifanya ameshakifanyia utafit! One love Manchester City chama langu kila la kheri katika safari ya ubingwa 2017-2018 !!!!
Asipo beba ubingwa najitoa jamiiforums.na.sitakanyaga tena hapa,
Sikujua kama na kwenye soka upo vizuri mkuuNdio, Kwani sistahili kuwepo huku? kuna watu maalumu wa kuwa huku?
Arsenal bila babu kuondoka hatupati taji loloteJapo mimi ni Arsenal naunga mkono hoja.
Take it easy..ni mdau japo sio sana [emoji3]Sikujua kama na kwenye soka upo vizuri mkuu
guardiola misimu mi4 hachukui kombe EPL..labda wa 5sio msimu huu tu...ni kwanzia msimu huu
we unaona nani atachukua ndoo msimu huu mkuuguardiola misimu mi4 hachukui kombe EPL..labda wa 5
Na hilo ndio litamfanya apigwe na arsenali, hakuna timu ya EPL inayocheza draft iliyowahi kumsumbua Arsenali, labda kama siku hiyo atacheza mpira wa kutafuta magoli tu vinginevyo sahau kuhusu ushindi.kocha guardiola yupo vizuri sana wakuu, timu inacheza soka lenye mvuto sana, pasi kwa wingi , tunamiliki mpira na goli za kutosha