George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Ahahaaaaaaaaaaah...Ndiye bingwa...wa msimu huu
Bingwa wa nini..?Bingwa ni TOTENHAM HOTSPURS.
Jikite kwenye maamuzi yako.
Dancan Butinini[emoji482]Ahahaaaaaaaaaaah...
Unatumia KILEVI gani chief..?
Ahahaaaaaaaaaaah...utaanza kumkataa Pep kwenye match na Arsenal ze mitutuz
Ahahaaaah...EPL sio bundesliga au laliga, huku kuna timu 20 na zote zinautaka ubingwa!
Jidanganyeni sasa eti man city ni bingwa hasubui hivi
Labda ashangazwe na penzi la bi mkubwa wakomwambie PEP hapo EPL kulimshangaza msimu wake wa kwanza alitoka kapa bila hata ya kombe kitu ambacho hakijawahi kumkuta katika maisha yake yote ya ukocha so atarajiwe kushangazwa tena
Moira ni nini?sidhan km una ushabiki na man city.... may b km umeanza fatilia Moira 2015.
maaana uko nyuma man city haikuwaga na mvuto had I weww uipende
Hiyo avatar imenishtua.
KabisaAhahaaaah...
Sawa Chief...
EPL sio Bundesliga..!
Lakini kumbuka Pep Guardiola ni Pep Guardiola pia..!
Hii ya kitambo sanaWewe hauna lolote, umeshaona upepo ndio unaongea hivyo leo, mbona hukutabiri hilo wakati epl inaanza August mwaka jana! Hauna maana kabisa wewe.
Jamaa sijuw akili zake. Kwani hajaona kama uzi huu ni wa mwezi wa 10/2017?Hii ya kitambo sana
Jamaa sijuw akili zake. Kwani hajaona kama uzi huu ni wa mwezi wa 10/2017?
Ni kweli mkuu.Kitambo sana
Unasema hahahaha hahahaha hahahaha hahahahautaanza kumkataa Pep kwenye match na Arsenal ze mitutuz
Ukipata muda jitahidi ufute huu UPUUZI..!utaanza kumkataa Pep kwenye match na Arsenal ze mitutuz