Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
Nyie ndo mnasanabisha mamlaka ziendelee kutia ugumu kwenye kuruhusu bangi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hapa bongo mashabiki wake Ni vichalii vidogo vilivyoikuta timu mwarabu kashainunua.
City kama PSG tu plastic clubs.
AC Milan ina Mvuto kuliko city. That's why all talented player will no retire at city
wewe hujui mpira kabisaKocha mkubwa km Pep kwenda kufundisha timu ndogo ya manchester city ilikuwa matumizi mabaya ya akili
Hii manchester city haiwezi kukua wala kuwa miongoni mwa giants kwasababu wanabeba makombe ya kununua harakaharaka
Wameshinda treble lkn ni kama hakuna kilichotokea badala yake Arsenal iliyoshika nafasi ya pili ndio inazungumzwa zaidi
Liverpool iliyoshindwa kufuzu Uefa ndio inazungumzwa zaidi
Ni wazi hii ni plastic club with plastic fans
. wachezaji wa manchester city wote wanataka kuondoka manchester city
KDB bado ndoto yake ni kuvaa uzi wa liverpool
Bernado silva haitaki kabisa manchester city
Rodri anapambana aende barcelona akiondoka Pep
Haland amesaini mkataba akitaka kusepa muda wowote wasimzuie
Cancelo aliwakimbia
Kapten gundo kashinda treble ila kawakimbia
Foden ndoto yake ni kucheza manchester united hata baba yake alimkataza kusaini City
Unaona hapa they won treble lkn no one is talking about them
Manchester city anakuwa anavutia game inapowa live tu mechi ikiisha ni wanakuwa km ndondo
Manchester city imevuka hatua katika ukuaji wa timu this means watarudi walipotoka regardless wameshinda nini
Poor Pep unashindwa hata kwenda aston vila au leeds ukachagua plastic club
dah nimecheka sanaUlitaka washabikie timu gani sasa nyie ndo mnakuja kuwa watu wazima mnalazimisha watoto washabikie timu mnazozipenda nyinyi wakati vitu vinabadilika.
Wewe isingekua fergie ungeshabikia man utd ? Au isingekuwa wenger ungeshabikia arsenal?
Kuanzia 2000 up to now mashabiki wengi wanaongezeka kwenye hizi timu maana zenyewe ndo zipo on fire [emoji91] na zinachukua makombe ambazo ni chelsea, man city and Liverpool. Hizi man utd na arsenal zilikuwa on fire enzi zetu tukiwa madogo ndo maana tukachagua kuzishabikia
Vitu vinabadilika mzee kama wewe ulipenda kuwinda ndege utaona ndo best thing kufanya ukiwa mtoto, lakini kwa sasa best thing kwa watoto wa sasa ni kucheza playstation fifa fortnite na mengine ukiwaeleza kuwinda wanakuona huyu bushman wa wapi [emoji23][emoji23].
Waswahili wanasema “ kila masika na mbu wake”
mkuu watu wa humu hawajui mpira!Nitajie talent player walio retire kwa man utd na arsenal?
Ronaldo mwenywe talented player aliondoka , beckham na rooney wote waliondoka man utd .
Henry, fabregas, viera , van persie hawa wote ni arsenal captain lakini hawajaretire arsenal.
Kigezo cha kustaafu kwenye timu sio point kabisa, mpira unaonekana hujui kabisa even gaucho mwenywe hajastaafu na barca
unasema hakuna anayewazungumza wakati huo unawazungumza.Kocha mkubwa km Pep kwenda kufundisha timu ndogo ya manchester city ilikuwa matumizi mabaya ya akili
Hii manchester city haiwezi kukua wala kuwa miongoni mwa giants kwasababu wanabeba makombe ya kununua harakaharaka
Wameshinda treble lkn ni kama hakuna kilichotokea badala yake Arsenal iliyoshika nafasi ya pili ndio inazungumzwa zaidi
Liverpool iliyoshindwa kufuzu Uefa ndio inazungumzwa zaidi
Ni wazi hii ni plastic club with plastic fans
. wachezaji wa manchester city wote wanataka kuondoka manchester city
KDB bado ndoto yake ni kuvaa uzi wa liverpool
Bernado silva haitaki kabisa manchester city
Rodri anapambana aende barcelona akiondoka Pep
Haland amesaini mkataba akitaka kusepa muda wowote wasimzuie
Cancelo aliwakimbia
Kapten gundo kashinda treble ila kawakimbia
Foden ndoto yake ni kucheza manchester united hata baba yake alimkataza kusaini City
Unaona hapa they won treble lkn no one is talking about them
Manchester city anakuwa anavutia game inapowa live tu mechi ikiisha ni wanakuwa km ndondo
Manchester city imevuka hatua katika ukuaji wa timu this means watarudi walipotoka regardless wameshinda nini
Poor Pep unashindwa hata kwenda aston vila au leeds ukachagua plastic club
Kama kuna ka ukweli hivii.Kocha mkubwa km Pep kwenda kufundisha timu ndogo ya manchester city ilikuwa matumizi mabaya ya akili
Hii manchester city haiwezi kukua wala kuwa miongoni mwa giants kwasababu wanabeba makombe ya kununua harakaharaka
Wameshinda treble lkn ni kama hakuna kilichotokea badala yake Arsenal iliyoshika nafasi ya pili ndio inazungumzwa zaidi
Liverpool iliyoshindwa kufuzu Uefa ndio inazungumzwa zaidi
Ni wazi hii ni plastic club with plastic fans
. wachezaji wa manchester city wote wanataka kuondoka manchester city
KDB bado ndoto yake ni kuvaa uzi wa liverpool
Bernado silva haitaki kabisa manchester city
Rodri anapambana aende barcelona akiondoka Pep
Haland amesaini mkataba akitaka kusepa muda wowote wasimzuie
Cancelo aliwakimbia
Kapten gundo kashinda treble ila kawakimbia
Foden ndoto yake ni kucheza manchester united hata baba yake alimkataza kusaini City
Unaona hapa they won treble lkn no one is talking about them
Manchester city anakuwa anavutia game inapowa live tu mechi ikiisha ni wanakuwa km ndondo
Manchester city imevuka hatua katika ukuaji wa timu this means watarudi walipotoka regardless wameshinda nini
Poor Pep unashindwa hata kwenda aston vila au leeds ukachagua plastic club
Hivi kabla ya 2004, ulikua uaijua chelsea? Watoto watakaonza kushabikia mpira miaka hii hawatakua Manchester United au Arsenal, bali Manchester City.Kocha mkubwa km Pep kwenda kufundisha timu ndogo ya manchester city ilikuwa matumizi mabaya ya akili
Hii manchester city haiwezi kukua wala kuwa miongoni mwa giants kwasababu wanabeba makombe ya kununua harakaharaka
Wameshinda treble lkn ni kama hakuna kilichotokea badala yake Arsenal iliyoshika nafasi ya pili ndio inazungumzwa zaidi
Liverpool iliyoshindwa kufuzu Uefa ndio inazungumzwa zaidi
Ni wazi hii ni plastic club with plastic fans
. wachezaji wa manchester city wote wanataka kuondoka manchester city
KDB bado ndoto yake ni kuvaa uzi wa liverpool
Bernado silva haitaki kabisa manchester city
Rodri anapambana aende barcelona akiondoka Pep
Haland amesaini mkataba akitaka kusepa muda wowote wasimzuie
Cancelo aliwakimbia
Kapten gundo kashinda treble ila kawakimbia
Foden ndoto yake ni kucheza manchester united hata baba yake alimkataza kusaini City
Unaona hapa they won treble lkn no one is talking about them
Manchester city anakuwa anavutia game inapowa live tu mechi ikiisha ni wanakuwa km ndondo
Manchester city imevuka hatua katika ukuaji wa timu this means watarudi walipotoka regardless wameshinda nini
Poor Pep unashindwa hata kwenda aston vila au leeds ukachagua plastic club
NashindiliaNakazia
Duniani Kila kiumbe na akili yako ,ndg una akili ya wadudu ila sio chungu maana Wana akili kukuzidi ni wadudu wengine.Kocha mkubwa km Pep kwenda kufundisha timu ndogo ya manchester city ilikuwa matumizi mabaya ya akili
Hii manchester city haiwezi kukua wala kuwa miongoni mwa giants kwasababu wanabeba makombe ya kununua harakaharaka
Wameshinda treble lkn ni kama hakuna kilichotokea badala yake Arsenal iliyoshika nafasi ya pili ndio inazungumzwa zaidi
Liverpool iliyoshindwa kufuzu Uefa ndio inazungumzwa zaidi
Ni wazi hii ni plastic club with plastic fans
. wachezaji wa manchester city wote wanataka kuondoka manchester city
KDB bado ndoto yake ni kuvaa uzi wa liverpool
Bernado silva haitaki kabisa manchester city
Rodri anapambana aende barcelona akiondoka Pep
Haland amesaini mkataba akitaka kusepa muda wowote wasimzuie
Cancelo aliwakimbia
Kapten gundo kashinda treble ila kawakimbia
Foden ndoto yake ni kucheza manchester united hata baba yake alimkataza kusaini City
Unaona hapa they won treble lkn no one is talking about them
Manchester city anakuwa anavutia game inapowa live tu mechi ikiisha ni wanakuwa km ndondo
Manchester city imevuka hatua katika ukuaji wa timu this means watarudi walipotoka regardless wameshinda nini
Poor Pep unashindwa hata kwenda aston vila au leeds ukachagua plastic club
Daaah!...YANI MKUU TENA UKUTE NI MTOTO WA KIUME KABISA UMEFIKWA NA NYONGO, CHUKI+WIVU+TIMU YAKO INAFANYA VIBAYA EPL....Kocha mkubwa km Pep kwenda kufundisha timu ndogo ya manchester city ilikuwa matumizi mabaya ya akili
Hii manchester city haiwezi kukua wala kuwa miongoni mwa giants kwasababu wanabeba makombe ya kununua harakaharaka
Wameshinda treble lkn ni kama hakuna kilichotokea badala yake Arsenal iliyoshika nafasi ya pili ndio inazungumzwa zaidi
Liverpool iliyoshindwa kufuzu Uefa ndio inazungumzwa zaidi
Ni wazi hii ni plastic club with plastic fans
. wachezaji wa manchester city wote wanataka kuondoka manchester city
KDB bado ndoto yake ni kuvaa uzi wa liverpool
Bernado silva haitaki kabisa manchester city
Rodri anapambana aende barcelona akiondoka Pep
Haland amesaini mkataba akitaka kusepa muda wowote wasimzuie
Cancelo aliwakimbia
Kapten gundo kashinda treble ila kawakimbia
Foden ndoto yake ni kucheza manchester united hata baba yake alimkataza kusaini City
Unaona hapa they won treble lkn no one is talking about them
Manchester city anakuwa anavutia game inapowa live tu mechi ikiisha ni wanakuwa km ndondo
Manchester city imevuka hatua katika ukuaji wa timu this means watarudi walipotoka regardless wameshinda nini
Poor Pep unashindwa hata kwenda aston vila au leeds ukachagua plastic club
Koma Kuitusi bangi Dogoo!!Bangi mbaya sana
City inamzidi mashabiki United?Ungekuwa umewahi kufika England ungejidharau sana na kufuta kauli zako kwa aibu. City ni club kubwa sana pale Manchester na ina mashabiki lukuki pengine zaidi ya United katika jiji lile. Huo mtazamo wako ni katika mazingira yenu huko Kingugi.