Pep Guardiola amekamilisha talaka kwa kupoteza Jumba na Nusu ya utajiri wake, mtalaka adai Pep alikuwa bize na mpira

Pep Guardiola amekamilisha talaka kwa kupoteza Jumba na Nusu ya utajiri wake, mtalaka adai Pep alikuwa bize na mpira

Pray for Pep View attachment 3204754

Soma pia
Alikuwa busy na mpira!!!!?? Mae-mae walahi. Hizo mali alizozipata kama mgao zimetokana na nini?
 
Unaoa, unajenga familia yako, unaihudumia.

ILA......

Mali zako weka kwa jina lako binafsi zibainishe mke wala watoto hawahusiki ama weka kwa jina la kampuni ikibainisha mke wala watoto hawahusiki hadi ukufe na hii iwe siri kuwa watarithi utapokufa ili wasikuue mapema.

Binadamu tumekuwa wabinafsi ila uhalisia we all need each other haswa kwenye ile sekta pevu. Puchu haifungi goli maridhawa itafunga goli mradi goli.

Hakuna aliyemkamilifu.
Kama mkeo ni mama wa nyumbani mlipe mshahara mwambie aweke akiba awe na mali zake na hizo ni zako siku mkiachana kila mtu abaki na mali zake. Akiwa mla bata na mvaa mawigi ndo ataondoka nayo.

Kama anafanya kazi au biashara, mwambie nae achume mali zake nawe zako, siku mnatengana kila mtu anabaki na zake.

Mwisho wa mzizi wa fitina.
Oya,ulipotea
 
Pray for Pep View attachment 3204754

Soma pia
Wanawake kuna wakati hata hawaeleweki wanataka nini! Kwa hiyo baada ta kutengana ndiyo atampata mtu atakayekuwa naye muda wote? Yaani hata akitaka kwenda chooni kukata gogo, ataenda naye!! Au ataendelea kuishi maisha yaleyale?

Ubinafsi tu na tamaa ndiyo sababu ya talaka hapo. Hakuna kingine. Hapa ndipo Pepp Guardiola atamkumbuka yule mchezaji wa Morocco anayechezea PSG.
 
Kataa ndoa OYEEEE
Pray for Pep View attachment 3204754

Soma pia
 
Wanawake kuna wakati hata hawaeleweki wanataka nini! Kwa hiyo baada ta kutengana ndiyo atampata mtu atakayekuwa naye muda wote? Yaani hata akitaka kwenda chooni kukata gogo, ataenda naye!! Au ataendelea kuishi maisha yaleyale?

Ubinafsi tu na tamaa ndiyo sababu ya talaka hapo. Hakuna kingine. Hapa ndipo Pepp Guardiola atamkumbuka yule mchezaji wa Morocco anayechezea PSG.
Atatumia hela zikiisha anaomba mrudiane
 
Nilikwisha sema na nitaendelea kusema, wanawake japo ni mama,dada,shangazi na ni watoto wetu lakini ni chanzo za matatizo mengi hapa duniani. Wana ushetani ndani yao..ndio maana nimeanza kuwaelewa waPakstani kwa sera zao kuhusu wanawake.
 
Pray for Pep View attachment 3204754

Soma pia
Kwenye hili, hakuna mwanaume anayeweza kuchomoka, labda wale masikini tu..!!!
Sababu ni hizi;

1. Mwanamke anamtaka mwanaume mwenye hela, hence lazima uwe na time ya kutafuta hela, hivyo utakuwa na muda mchache wa kuwa naye.

2. Mwanamke anamtaka mwanaume mwenye muda mwingi wa kuwa naye. Hivyo, itambidi mwanaume apunguze muda wa kutafuta hela ili akae na mwanamke wake. Lakini katika kufanya hivyo, anaweza akakosa hela

3. Bahati mbaya, ukikosa chochote kati ya muda na hela, mwanamke anaweza akakukimbia.
 
Wanawake kuna wakati hata hawaeleweki wanataka nini! Kwa hiyo baada ta kutengana ndiyo atampata mtu atakayekuwa naye muda wote? Yaani hata akitaka kwenda chooni kukata gogo, ataenda naye!! Au ataendelea kuishi maisha yaleyale?

Ubinafsi tu na tamaa ndiyo sababu ya talaka hapo. Hakuna kingine. Hapa ndipo Pepp Guardiola atamkumbuka yule mchezaji wa Morocco anayechezea PSG.
Pesa c anayo hapo anatafuta kiben ten chakumpa raha....nasema kataa ndoa
 
Back
Top Bottom